Tangu tusikie kuwa alianguka akiwa katika shuguli za bunge Dodoma na kukimbizwa hospitali hakuna habari zinazomhusu! Je kapelekwa India au keshapona anachapa kazi?? mwenye habari zake atujuze tafadhali!!
umejuaje aisee wewe kweli nabii!!ila kuna jamaa alikusemesha kilugha kwenye thread moja hivi naamini aliyokueleza umeyazingatia!!halafu mimi mwenyewe ndio M4C!!
umejuaje aisee wewe kweli nabii!!ila kuna jamaa alikusemesha kilugha kwenye thread moja hivi naamini aliyokueleza umeyazingatia!!halafu mimi mwenyewe ndio M4C!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.