Wapi Jay Milionea?

Fungomali

Member
Joined
Jul 21, 2014
Posts
27
Reaction score
4
Wekend Vp Wana Jamvi,
Huyu Bwana Jay Milionea Kapotelea Wapi Tangia Atokelezee Kule Mtwara Kwa Mhudumu Wa Guest,mbona Hasikiki Amekuwa Tapeli Tu Kila Siku,hzo Milioni 100,10,1 Za Kila Cku Ziko,wap? Bora Airtel Tunasikia Watu Wakipewa Zawadi,
 
hawa jamaaa had wafikishe milion 500 ndo wanatoa mil 10 kumpa mshindi...hivi hivi wajanja kwel hawatoi hela bila hela
 
Ha ha.,,, wezi wakubwa hao.
 
Halafu kwanini wanatumia lafidhi ya kikabila kwenye tangazo la mtu mwenye kujiona na kujidai?
 
Wekend Vp Wana Jamvi,
Huyu Bwana Jay Milionea Kapotelea Wapi Tangia Atokelezee Kule Mtwara Kwa Mhudumu Wa Guest,mbona Hasikiki Amekuwa Tapeli Tu Kila Siku,hzo Milioni 100,10,1 Za Kila Cku Ziko,wap? Bora Airtel Tunasikia Watu Wakipewa Zawadi,

Wana vodacom wenxangu nawasihi msishiriki huu mchezo, so far nimeshatumia zaidi ya laki lakini naona ni bila bila, SISHIRIKI TENA KAMARI ZA VODACOM
 
Hi Jay naombaaa........
Na mimi niombee.......

Jay kafilisika
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…