RC Makonda yupo wapi?

Majukumu yake bado yanatekelezwa tu kwakuwa ofisi bado ipo
 
kwani mh mkuu wa mkoa kwao ni USA?
Kwani likizo Maana yake lazima uende kijijini kwenu?Ukiwa na likizo ndo fursa ya kutembea popote unapopenda duniani ndo Maana unaona wazungu wengi wanapopata likizo huja Africa hususan Tanzania kuona mambo mbali mbali ambayo kwao hakuna....pia ona wacheza soka kipindi cha likizo wanavyojazana huko Ibiza lakini sio kwao huko
 
Nimependa mfumo nzuri wa Utawala . Engalikua fisadi engekomaa hata mvua tano, bila likizo.CCM hoyee, Mboye ye hana likizo
 
Kwani likizo Maana yake lazima uende kijijini kwenu?Ukiwa na likizo ndo fursa ya kutembea popote unapopenda duniani ndo Maana unaona wazungu wengi wanapopata likizo huja Africa hususan Tanzania kuona mambo mbali mbali ambayo kwao hakuna....pia ona wacheza soka kipindi cha likizo wanavyojazana huko Ibiza lakini sio kwao huko
huoni hazingatii falsafa ya kubana matumizi inayosemwa na mkubwa wake?
 
Jana tulikua naye hapa msiban wilayan magu mwanza jamaa kanenepa kinoma ilikuwa niwamwise kwa kwenda mbele
 
Back
Top Bottom