Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,707
- 3,993
Hahahaha. Je ni kweli alisalimiwa nyumbani kwake?Waandamanaji walikosa tu mkakati, lakini wangemsaka kwenye madanguro ya ubungo wangemnasa kiulaini.
Mkuu naomba picha ya avatar yako.Hahahaha. Je ni kweli alisalimiwa nyumbani kwake?
Alikuwa anaongea kama chiriku tunamzoom tuJamaa alikua na mdomo huyo kabla ya maandamano π€£, Saivi kiburi chote kimya
Hivi ni kweli walifika nyumbani kwake?Yuko hospitali akitibiwa mguu uliovunjika wakati alipokuwa akijaribu kuwakimbia "wahalifu" kutoka nchi za nje ambao waliizingira nyumba yake.
Wamkate pumbu tuAmepotelea wapi huyu?
Nasikia vijana wa Dar mlikuwa na jambo lenu pale nyumbani kwake. Je ni kweli?
Niwapongeze kwa kwenda msalimia na kunywa chai nyumbani kwake.
View attachment 3497304
Alafu nasikia anakaribia kustaafu huyu. Kama yule hai, tutamalizana naye mtaani baada ya kustaafu kwake.
Hivi ni kweli walifika nyumbani kwake
Yes walifika since day one trh 29 japo kulikuwa na ulinzi sana wa police kwahyo mabomu yalilia sana pale kwake, baadae usiku wake tukaona panafuka moshi tu pale kwakeHivi ni kweli walifika nyumbani kwake?
Aise,wananchi walidhamiria kumshikisha adabuYes j
Yes walifika since day one trh 29 japo kulikuwa na ulinzi sana wa police kwahyo mabomu yalilia sana pale kwake, baadae usiku wake tukaona panafuka moshi tu pale kwake
Majibu yake yalikuwa yanatia hasira mno, wananchi walipeleka moto sana ikabd atoroshwe pale kwake πAise,wananchi walidhamiria kumshikisha adab
ππMajibu yake yalikuwa yanatia hasira mno, wananchi walipeleka moto sana ikabd atoroshwe pale kwake π
Ni kweli 100%.Hivi ni kweli walifika nyumbani kwake?