inategemea wapenzi hao waliachanaje! Kwa mfano, kama waliachana ktk hali ya amani kwa ndoa yao kuvurugwa na wazazi, ndugu nk hakuwezi kuwa na chuki baina yao, lakini imagine kuwa ndoa imevunjwa baada ya kugundua mmoja wapo alitaka kumtenda mabaya au hata kumuua mwenzake, unafikiri hakutakuwa na chuki hapo?