Hahahaaa!Mwaka 2015 capten John komba alifanya wimbo MBELEMBELE ukiwa na lengo la kuhamassisha mambo ya KAMPENI flan amaizing za kisiasa
Wimbo huo uliuza kopi kibao na kila ulikopigwa ulikuwa UNASIKILIZWA BILA KUPINGWA
Tupia link zake tuzame huko mkuu maana nimezitafuta wee bila mafanikio
Muziki ulikuwa zamani aisee,kwasasa ni makopo kopo tu!!
Naam
Bado hapo hujamgusia Michael Jackson na liberian girl wala boyz to men, kuna watu walikuwa wanaitwa Next... kwanza wazuri halafu sauti zao ni shiida, naona nisiendelee sana nisije nikaanza kuwakumbuka akina Tevin Campbel, christina augulera shakira na siwezi kuacha kuwataja nsync na this i promise you maana post haitakamilikaMuziki ulikuwa zamani aisee,kwasasa ni makopo kopo tu!! Ukija huku unaburudishwa na Shania Twain - You are still the one ,ukienda huku kuna Luther vandros maricah carey - endless luv ,ukienda huku una boy 2 men ,ukirudi huku unapata flavor za wako jako ,ukirudi nyuma unawakuta dru hill - i should be ,ukienda kule unakutana na kina julio glesias ,ukienda mbele kuna ,swv,ukienda kushoto kuna spice girls,ukienda kulia unakutana na britney spears luck,ukija juu unakutana na kci and jojo -tell me its real,ukija kati s club 7- 2 in a millioni ,spice girls-2 became 1...yaani sisi ndio tumeenyoj muziki aiseeeee! Yaani unakuta HDD disk umejaza mp3 zaidi ya elfu 10.
Bado hapo hujamgusia Michael Jackson na liberian girl wala boyz to men, kuna watu walikuwa wanaitwa Next... kwanza wazuri halafu sauti zao ni shiida, naona nisiendelee sana nisije nikaanza kuwakumbuka akina Tevin Campbel, christina augulera shakira na siwezi kuacha kuwataja nsync na this i promise you maana post haitakamilika
Watu walofaidi mziki bana na hisia za ndani kimziki hawawezi kuzificha hata iweje!Bado hapo hujamgusia Michael Jackson na liberian girl wala boyz to men, kuna watu walikuwa wanaitwa Next... kwanza wazuri halafu sauti zao ni shiida, naona nisiendelee sana nisije nikaanza kuwakumbuka akina Tevin Campbel, christina augulera shakira na siwezi kuacha kuwataja nsync na this i promise you maana post haitakamilika
Dah mkuu inaonekana makopo kopo yanakukera ni balaaa...🤣🤣🤣...acha tu watoto wadogo kwasasa tunawahurumia na makopo kopo yao...
Kuna watu kuwasikiliza hutokaa uchoke japo ni kitambo!
Dah mkuu inaonekana makopo kopo yanakukera ni balaaa...🤣🤣🤣
Hebu tuliza nafsi na Can we Talk kwanza.
View attachment 1658459