oriflametz
Member
- May 31, 2016
- 47
- 12
Perfumes nzur za kike na kiume ambazo zimewekwa kwenye seti maalum yenye kila kitu yaani sabuni, lotion, poda, aftershave balm kwa wanaume, perfume na spray... Ni nzur kwan zinakupa harufu moja mwili mzima, sabuni yenye harufu sawa na lotion sawa na perfume yake.. Ni nzur kwa matumiz binafsi au kwa zawadi.. Zinapatkana jumla 25000 kuanzia piece 10 na rejareja 28000....
Contact 0652140160,
Mikoani tunatuma. View attachment 373735View attachment 373736View attachment 373737View attachment 373738View attachment 373739View attachment 373740View attachment 373741
Ni mkebe mzima,soma maelezo ya jamaa vizuri.Hiyo bei niya Mkebe mzima au item moja moja?
ameweka namba za simu tayarUnqpatikana wapi mkuu, nipo Dar nahitaji kuja kununua
Kwani watu wa mikoani na nyie mnapaka parfume!?Gharama za kutuma kwa mikoani ni zangu au zako mkuu?
Sana tuKwani watu wa mikoani na nyie mnapaka parfume!?
Mwishoni malizia na neno RiskBy experience nilishawahi kununua perfume za namna hii, kiukweli simshauri mtu bt you can try and experience on ur own ....
Inauzwa sh:ngapi shansarie nikaitafuteNina moja inaitwa Pink suger yaani sijutii hata kidogo maana nikipaka hiyo kila nipitapo ""you smell so good" imekua kama wimbo wa taifa
weka na picha bas mkuu maaana kuna org na fekiNina moja inaitwa Pink suger yaani sijutii hata kidogo maana nikipaka hiyo kila nipitapo ""you smell so good" imekua kama wimbo wa taifa