Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,716
- 39,803
mtakumbuka nokia ya mwisho ya tochi tuliekewa redio atleast na sisi masikini tukawa tunapita barabarani tumevaa earphone tunaskiliza redio kwenye visimu vyetu vya tochi nokia 103
Nokia kuna simu zimetangazwa mpya ni nokia 111, 112 na 113
Sjajua kama na simu hizi zitakua na tochi au la ila ni successor ya simu za tochi na bei ni dola 40 around kama tsh 65,000 na itatoka kati ya mwez huu wa 6 hadi wa 9 na ina feature kama hizi
display
Katakua na kakioo kadogo ka ukubwa wa 128x160 kitakuwa na uwezo wa kudownload game pia ni coloured screen
camera na video
Camera itakuwepo na video utachukua
miziki na memory
itachukua memory card ya 32gb kujaza miziki ya kutosha
battery
Uspozima wala kutumia simu itakaa mwezi bila kuzma charge. Ukiongea ni masaa 7 bila kuzima
Tujiandae wale wa vitochi
Internet pia ipo 2g
Nokia kuna simu zimetangazwa mpya ni nokia 111, 112 na 113
Sjajua kama na simu hizi zitakua na tochi au la ila ni successor ya simu za tochi na bei ni dola 40 around kama tsh 65,000 na itatoka kati ya mwez huu wa 6 hadi wa 9 na ina feature kama hizi
display
Katakua na kakioo kadogo ka ukubwa wa 128x160 kitakuwa na uwezo wa kudownload game pia ni coloured screen
camera na video
Camera itakuwepo na video utachukua
miziki na memory
itachukua memory card ya 32gb kujaza miziki ya kutosha
battery
Uspozima wala kutumia simu itakaa mwezi bila kuzma charge. Ukiongea ni masaa 7 bila kuzima
Tujiandae wale wa vitochi
Internet pia ipo 2g