Kaputupu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,486
- 1,179
Technology inaenda kwa kasi sanaa..
Naomba niongee kitu kuhusu wapenzi wa movie na Netflix,
Nimekuwa mtumiaji wa netfllix almost 2 years now!!
Japo sio mtumiaji sana lakini, kwa sababu nina Apps nyingine za kutosha kwa ajili ya kudownload na kuangalia movies pia..
Kuhusu matumizi ya Netflix unapaswa kulipia kila mwezi kulingana na package unayotumia,,
Kuna basic standard pamoja na premium!!
Kila package ina maximum users!!
Nalipia premium kila mwezi elfu 30,000
(12.99$)
Bt maximum users ni watu watano
Mtu mwingine anaweza akakushanga kulingana na uchumi wa nchi yetu etc!
“Unalipa elfu 30,000 kila mwezi kwa sababu ya Netflix tuuu!!!?
Aahh mkuu basi una hela!!”
Siri iko hivi
Ni kweli nilikuwa Nalipa mwanzo, lakini baadae nikapata marafiki ambao
Pia wanapenda movies kama mimi!!
Kama tunaweza kuwa watu watano..
Kwa nn tusipitishe mchango wa elfu saba saba kila mwezi tukapata 35,000
Na tukailipia netflix yetu..
Kweli tumefanikisha hilo
“Tulitengeneza group la WhatsApp
Tukajiweka humo lakini sisi tukafanya hivi mwezi huu analipa, mwezi huu analipa huyu hadi hadi mzunguko wa watu watano unaisha””
Mnaweza kuwa watu watano kwenye account moja kila mmoja akawa na option ya kutengenza list ya movies zake etc..
Changamoto iko hapa
Kwenye kufanya malipo netflix wanataka visa au MasterCard..
Wabongo wengi sisi ni waoga sana,
Mtu anasema siwezi ku Add Account yangu ya bank, watanikata hela hukoo kila siku., mara oohh its not safe etc..
Lakini VODACOM wametuletea Mpesa Mastacarard.
So Problem solved..
Tengeneza account yako ya M-Pesa mastacard then details unazopewa Ndo details zinazotakiwa na netflix unapotaka kulipia Account yako..
(Kadi namba, mwezi na mwaka wa ku expire kadi pamoja na CVV)
NB: huu uzi wangu sio kufanya tangazo la Netflix wala mastacard kutoka vodacom..
Ila ni kuwajuza wapenda movies wenzangu.
Asante..
Naomba niongee kitu kuhusu wapenzi wa movie na Netflix,
Nimekuwa mtumiaji wa netfllix almost 2 years now!!
Japo sio mtumiaji sana lakini, kwa sababu nina Apps nyingine za kutosha kwa ajili ya kudownload na kuangalia movies pia..
Kuhusu matumizi ya Netflix unapaswa kulipia kila mwezi kulingana na package unayotumia,,
Kuna basic standard pamoja na premium!!
Kila package ina maximum users!!
Nalipia premium kila mwezi elfu 30,000
(12.99$)
Bt maximum users ni watu watano
Mtu mwingine anaweza akakushanga kulingana na uchumi wa nchi yetu etc!
“Unalipa elfu 30,000 kila mwezi kwa sababu ya Netflix tuuu!!!?
Aahh mkuu basi una hela!!”
Siri iko hivi
Ni kweli nilikuwa Nalipa mwanzo, lakini baadae nikapata marafiki ambao
Pia wanapenda movies kama mimi!!
Kama tunaweza kuwa watu watano..
Kwa nn tusipitishe mchango wa elfu saba saba kila mwezi tukapata 35,000
Na tukailipia netflix yetu..
Kweli tumefanikisha hilo
“Tulitengeneza group la WhatsApp
Tukajiweka humo lakini sisi tukafanya hivi mwezi huu analipa, mwezi huu analipa huyu hadi hadi mzunguko wa watu watano unaisha””
Mnaweza kuwa watu watano kwenye account moja kila mmoja akawa na option ya kutengenza list ya movies zake etc..
Changamoto iko hapa
Kwenye kufanya malipo netflix wanataka visa au MasterCard..
Wabongo wengi sisi ni waoga sana,
Mtu anasema siwezi ku Add Account yangu ya bank, watanikata hela hukoo kila siku., mara oohh its not safe etc..
Lakini VODACOM wametuletea Mpesa Mastacarard.
So Problem solved..
Tengeneza account yako ya M-Pesa mastacard then details unazopewa Ndo details zinazotakiwa na netflix unapotaka kulipia Account yako..
(Kadi namba, mwezi na mwaka wa ku expire kadi pamoja na CVV)
NB: huu uzi wangu sio kufanya tangazo la Netflix wala mastacard kutoka vodacom..
Ila ni kuwajuza wapenda movies wenzangu.
Asante..