Mwitongo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2009
- 312
- 360
Ndugu zangu Wabara, wala msihangaike kupambana na Wazanzibari! Hakuna nchi itakayoitwa Zanzibar miaka michache ijayo kutokana na tabia mabadiliko ya tabia nchi. Kisiwa hiki ni miongoni mwa vilivyo katika orodha ya kuzama! Waacheni wajitenge. Wakiomba kurejea kwenye Muungano itakuwa tuuu leiti!!!!!