Heri ya pasaka,kwa kifupi nahitaji msaada wa mawazo,nilikuwa na mchumba mpendwa ktk Bwna kama mimi,na tangu mwanzo tulikubaliana sisi kama wakristo hatutakiwi kufanya tendo la ndoa hadi wkt wa ndoa,hilo lilipita bila kupingwa,na ktk kipindi hicho alisema mwk 2012 angeenda kujitambulisha na kwa bahati baba yake kamjibu hadi arudi nchini december,
Sasa ni hv majuzi niligundua kitu,nilikutana nae maeneo ya mlimani city,wkt nipo nae best yangu akawa amenipigia cm kwmba amekuja dar,cm yangu haikuwa na hela nikaomba yake niitumie kumjibu best,nikajikuta inbox nikapigwa na butwaa kwa kuona msg zinaonesha ametoka kufanya uzinzi siku 2 nyuma.
Niliamua kumuuliza ili aniambie ukweli na alikiri kwmba shetani alimpitia anaomba nimsamehe kwa uzinzi wake,ila nimeshndwa kumsamehe na uchumba nimeuvunja je?wapendwa nipo sahihi?naombeni mawazo yenu!
Sasa ni hv majuzi niligundua kitu,nilikutana nae maeneo ya mlimani city,wkt nipo nae best yangu akawa amenipigia cm kwmba amekuja dar,cm yangu haikuwa na hela nikaomba yake niitumie kumjibu best,nikajikuta inbox nikapigwa na butwaa kwa kuona msg zinaonesha ametoka kufanya uzinzi siku 2 nyuma.
Niliamua kumuuliza ili aniambie ukweli na alikiri kwmba shetani alimpitia anaomba nimsamehe kwa uzinzi wake,ila nimeshndwa kumsamehe na uchumba nimeuvunja je?wapendwa nipo sahihi?naombeni mawazo yenu!