Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,262
- 7,242
Kama alivyokuwa baba yako- Labda ujipange upya na kujifunza mazingara aliyojiuzulu ni ya bongo sio ughaibuni, ukijua hilo then utaheshimu uamuzi wake wa kujiuzulu cause tumejionea madudu ya ajabu hapa bongo na wahusika hawajajiuzulu mpaka leo!!
Willie!!
Mkuu haya ni Maneno ambayo uliyowahi kusema humu JF " Ha! ha! ha! ha! huwa sisikilizi maushauri ya kunitaka niwe muoga muoga kama fisi, sikuogopa bahari bro miaka sita baharini, nimevuka Bermuda Triangle mara 3, mahali ambapo mabaharia huacha kazi wakisikia meli itaenda kupita hapo!
- Ninachosema humu JF, au mahali popote pale ndicho ninachokiamini, AND THAT IS ME, TAKE IT OR LEAVE IT kwangu mwendo ni mdundo sana mpaka kelewekes, nimesema huu mjadala ni tooo lowa kwangu hauna tija, sio Chadema wala mafisadi wanaoweza kumshinda kwa kura Mbunge wa sasa wa Same East, ningeamini otherwise ungeniona kwenye huu mjadala in full kama kawaida yangu!" ........ Sasa wewe Kama umekatiza barmuda triangle wakati wa kuzama kuopoa miili ulikuwepo kufanya hiyo kazi au Hilo limwili huwezi kuzamia tena?
Kama alivyokuwa baba yako
Wewe upo kwenye siasa zipi?- DUH unasema kama ninataka kuwa mwanasiasa na wakati nipo kwenye siasa tayari, halafu unasema wewe unasoma sana? REALLY?
- STANDARDS NI ZILE ZILE? REALY? zipi hizo wangapi bongo wamejiuzulu kwa madudu? I mean mara kwa mara unapotumia hii ID huwa unakuwa na sense sana kuliko ie ya kaiwada lakini sio leo bro, upo nje sana ya mstari na ni watu kama wewe ndio wamenifanya kwua msimamo mpya wa kushiriki JF bila kushirikiana na anybody humu, cause wewe ni nothing but mnafiki tu!!
- Una matatizo binafsi unajaribu sana kuyaficha nyuma ya hii topic lakini unashindwa kwa sababu unacheza na the master of this game, nenda ujipange upya maana sina sababu ya kurudia mambo yaliyokwisha tokea na hakuna kiongozi aliyejiuzulu, halafu msomi unasema ni standards za kawaida wapi huko kwenu kijijini? ha! ha! ha! ha! simpy a joker!!
Willie!!
Bora baba yangu hakusoma kuliko huyo wa kwako aliyesoma akapewa kura na madaraka na hao ambao hawakusoma halafu akaanza kuwafisadi vilio vyetu vitawatokea puani unataka kutuletea usultani. Kobello ni gamba mwenzako lakini kakustukia upo shallow kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Teh! Teh!- Sio kosa langu kwamba baba yako hakusoma na hakuwa kiongozi!!
Willie!
William, umeongea kweli na sahihi ila ushabiki wetu kuna wakati unatufanya kuwa blind- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini, wala NGOs! WHY?
- I mean responsibility ndio quality number one kwenye reforms, sasa leo ametokea kiongozi aliyefanya the impossible hakuna praise, sio kwa wanaharakati tu hata kwenye media hakuna, hakuna a word of courage toka kwa vyama vya upinzani, wala hata media coverage haikugusa sana the topic, that is very sad!
- Ninapenda kumpa salute Mheshimiwa Waziri kwa kitendo chake hicho cha kishujaa sana, kinatakiwa kuweka msingi wa uwajibikaji wa Viongozi wa juu katika taifa leu, ambao unaonekana kutokuwepo na kuwapa nafasi baadhi ya viongozi wetu kujifanyia tu wanavyotaka na siku zote kuishia kumpa taabu sana Rais wa Jamhuri kuvunja baraza zima la mawaziri, badala ya waziri mmoja aliyeharibu kujitoa mwenyewe kama huyu Shujaa aivyofanya!!
OUR MEDIA, WANAHARAKATI, NA WAPENDA MABADIIKO KWENYE HII MMEHARIBU SANA TUMPE WAZIRI HESHIMA YA AINA YAKE KUSUDI UWE MFANO KWA WENGINE!!
- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!
WILIAM.
comments zaifu ... yak!!!Kama unataka kuwa mwanasiasa mzuri, soma sana, tena sana. Soma angalau kitabu kimoja cha philosophy kwa wiki.
Kwa sababu hoja zako ni za kitoto mno.
Kujiuzulu ni jambo la aibu. Failure in a gentleman's way (only if you were not forced to).
Na kama unasifia failures, then....
Wewe upo kwenye siasa zipi?
Stop fooling yourself, halafu mbona mapovu mengi? ... Siasa zipi unazozungumzia wewe??
Hebu rudia niliyoyaandika halafu highlit niliposema mimi nasoma sana.
Wewe Willy haupo kwenye siasa za bongo, ila unataka uwepo kwenye siasa za bongo. Hata kwenye chama haupo na sidhani kama utakuja kushika position yeyote ya maana CCM. But who knows, mabbe you'll manouvre your way through, but I highly doubt it.
Huwezi kusema tumsifie mtu kwa sababu kwa standards za bongo amefanya la maana. Huyo waziri alishaambiwa na wana - CUF wenzake ajiuzulu na akasema mbele ya waandishi wa habari kuwa hatajiuzulu. Sasa amebadilisha mawazo au wamembana mpaka akajiuzulu?
Halafu hiyo ID unayoizungumzia wewe ni wasiwasi wako tu, I don't know you, never met you and I doubt if one day in our lives we gonna share the same venue.
Labda nina matatizo yangu ya kibinafsi, but as far as I'm concerned, I'm cool ... But umeongea pumba na mimi nimezisoma na nikaamua nikupe ukweli, the rest is just bull.
Bora baba yangu hakusoma kuliko huyo wa kwako aliyesoma akapewa kura na madaraka na hao ambao hawakusoma halafu akaanza kuwafisadi vilio vyetu vitawatokea puani unataka kutuletea usultani. Kobello ni gamba mwenzako lakini kakustukia upo shallow kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Teh! Teh!
alikuwa na totoznimemuona kijo kisimba akipongeza hili channel ten, sijuhi ulikuwa wapi muda huo.
- Ninashangazwa sana na the fact kwamba Waziri Wa Zanzibar amejiuuzulu kutokana na ishu mbili za ajali za meli katika uwaziri wake, lakini haina heshima wala praise kutoka kwa Wanaharakati kutoka chama chochote cha siasa nchini, wala NGOs! WHY?
- I mean responsibility ndio quality number one kwenye reforms, sasa leo ametokea kiongozi aliyefanya the impossible hakuna praise, sio kwa wanaharakati tu hata kwenye media hakuna, hakuna a word of courage toka kwa vyama vya upinzani, wala hata media coverage haikugusa sana the topic, that is very sad!
- Ninapenda kumpa salute Mheshimiwa Waziri kwa kitendo chake hicho cha kishujaa sana, kinatakiwa kuweka msingi wa uwajibikaji wa Viongozi wa juu katika taifa leu, ambao unaonekana kutokuwepo na kuwapa nafasi baadhi ya viongozi wetu kujifanyia tu wanavyotaka na siku zote kuishia kumpa taabu sana Rais wa Jamhuri kuvunja baraza zima la mawaziri, badala ya waziri mmoja aliyeharibu kujitoa mwenyewe kama huyu Shujaa aivyofanya!!
OUR MEDIA, WANAHARAKATI, NA WAPENDA MABADIIKO KWENYE HII MMEHARIBU SANA TUMPE WAZIRI HESHIMA YA AINA YAKE KUSUDI UWE MFANO KWA WENGINE!!
- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!
WILIAM.
W. J. Malecela tatizo lako unatumia muda wako mwingi kwenye night club na kupiga picha na makahaba, yule Waziri alishinikizwa kujiuzulu na aligoma na akasema kwamba ile ajali ni mipango ya mwenyezi Mungu, na hata Harrison Mwakyembe alivyokwenda Zanzibar alimtetea kwamba kujiuzulu si suluhisho la kila tatizo, lakini chama chake cha CUF ndicho kilichomshinikiza kujiuzulu ili kiwe na taswira nzuri katika jamii, CUF wanajuwa kabisa ile ni nafasi yao akitoka yule ni lazima achaguliwe mwingine kutoka CUF.
Sasa wewe badala ya kufuatilia Taarifa hizi kwa kina badala yake unakesha kwenye makasino na kukurupuko na huu ***** wako unaoonesha hakuna unalolijuwa katika kinachoendelea nchi hii.
Kama ungeshauri chama cha CUF kipongezwe kwenye hili angalau ningekuelewa, lakini kumuita yule loser kwamba ni shujaa basi huenda neno shujaa limepatiwa tafsiri mpya.
Loser.- Sure, sasa kama Uwanja wa Taifa ulijaaa wananchi walioipa Shilingi 10,000 kuwaona "Makahaba" wakipigana ngumi, ha! ha! ha! ina maana hii sasa ni taifa la makahaba au? ha! ha!
- Ninasema hivi aliyejiuzulu ni yeye sio CUF wala anybody, Mtei alipojiuzulu hakuwa loser ila shujaaa, pole sana by the way nasikia uliwahi kuuza kata ya Chadema kwa kambi ya mbunge mmoja wa CCM huko Ukonga, ni kweli au ni maneno tu? ha! ha! ha! ha!
Willie!