wagagagigi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2014
- 890
- 986
- Thread starter
- #21
Usilazimishe unalowaza wewe ndio niseme Mimi! Serikal ipo sahihi kushawishi Watumishi kwa kuwa Msimamo wa tume ni msimamo wa Serikal
Ila hapa serikali haikushawishi bali imelazimisha wafanya kazi waende kusajili vitambulisho vyao vya kupigia kura kwa wakuu wao wa kazi.... sasa tujiulize kwa lengo gani.. au na hili pia serikali kufanya si dhambi ??