TWALICIOUS
Member
- May 26, 2011
- 42
- 0
Wananchi wa kata ya Kasanga mkoani Rukwa,wamepelekewa boksi 10 za kondom badala dawa walizoomba bohari kuu ya dawa{MSD}.kauli hiyo ilitolewa na mbunge wa viti maalumu CHADEMA Suzan Kiwanga alipo uliza swali la nyongeza lililoelkezwa wizara ya afya na ustawi wa jamii............KIWANGA alisema kuwa mei mwaka huu alifika mkoani hapo na kuona wananchi wakilalamika juu ya suala hilosu kitendo walicho fanyiwa na MSD kuwapelekea kondom ilihali wakiwa wameagiza dawa
Sasa ndugu zangu wana JF hebu tujiulize hivi ni kweli walisahau kupeleka dawa za kutibu wagonjwa hadi kupeleka kondom au wameona kuwa kondom ni sehemu ya dawa hebu tusaidiane kwa hili wana JB
Sasa ndugu zangu wana JF hebu tujiulize hivi ni kweli walisahau kupeleka dawa za kutibu wagonjwa hadi kupeleka kondom au wameona kuwa kondom ni sehemu ya dawa hebu tusaidiane kwa hili wana JB