Waongo nguli Duniani

feyzal

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
8,900
Reaction score
18,264
Salaam,hii ni orodha ya waongo nguli duniani.

1.Mo dewji
2.Viongozi wote wa Simba
3.Wanasiasa
4.Wasichana waliozaliwa kuanzia 2005
5.Madalali.

Nawasilisha
 
Baba yangu Mdinyakobe Kimario naye alikuwa muongo wa kutwapwa.

Alikuwa nasema kipindi alipokuwa anasoma hakukuwa na mwanga (taa) wa kusomea kama leo.

Ati, yeye alikuwa anasoma (usiku) kwa kutumia mwanga unatokana na sigara iliyokuwa inayovutwa na baba yake.

Wazee wengine bhana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…