Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Dini zaidiWe unaona dini tu,hakuna jingine macho yako yanaona
Dini zaidiWe unaona dini tu,hakuna jingine macho yako yanaona
Nimeangalia orodha ya hizo nchi karibia zote ni zile zenye kitabu kilichokamilika, ambazo nchi zao walikotoka ama.wame adopt mfumo wa hicho kitabu ili kuwa na maisha bora waliyoandikiwa na huyo mwandishi, ama kuna vikundi vinavyoendesha vuguvugu la kuendesha nchi kwa imani hiyo, na duniani kote, walipo hao waamini , wanasema mfumo huo ndio.bora kuufuata sasa mbona wamekimbia nchi zao na kwenda kujificha kwenye nchi zinazofuata mifumo wasioutaka?View attachment 2219941
Habari kutoka BBC:
Watu wanaohukumiwa kuingia Uingereza kinyume cha sheria wanakabiliwa na kupelekwa Rwanda kwa ajili ya makazi mapya.
Mashirika ya misaada yanasema waomba hifadhi kadhaa nchini Uingereza wamejificha kwa sababu ya hofu kuwa watatumwa Rwanda.
Chini ya mkataba uliotiwa saini mwezi uliopita, watu wanaohukumiwa kuingia nchini kinyume cha sheria wanakabiliwa na kupelekwa Rwanda kwa ajili ya kupata makazi mapya.
Shirika la Msalaba Mwekundu na Baraza la Wakimbizi linasema tishio la kuondolewa limewafanya baadhi ya wale wanaotafuta hifadhi kujidhuru; mmoja amejaribu kujiua.
Mashirika ya kutoa misaada yamekosoa mipango ya serikali ya Uingereza kuwa ni ukiukaji wa wajibu wa kutoa huduma.
Ofisi ya Mambo ya Ndani ya London inasema inachukua kila hatua kuzuia kujidhuru au kujiua.Inasema inatumai sera yake itadhoofisha mtindo wa biashara wa wafanyabiashara wa watu.
Wanajifichaje wakati wako chini ya ulinziChini ya mkataba uliotiwa saini mwezi uliopita, watu wanaohukumiwa kuingia nchini kinyume cha sheria wanakabiliwa na kupelekwa Rwanda kwa ajili ya kupata makazi mapya.
Sehemu zote comment yako ni hiyo hiyo moja, kwenye uzi wa Domo najua huwez kuweka hiyo commentduh aiseee
Sehemu zote comment yako ni hiyo hiyo moja, kwenye uzi wa Domo najua huwez kuweka hiyo comment
Wapo kwa mamilioni uturuki,halafu hao wakimbizi waende hukohuko kwa waliowapelekea Vita makwaoBismillah! Hv kwa nn Saudia hasanii asylum seekers toka Syria, Sudan, Afghanistan, Pakistan, Nini kimejificha hapo?
Saudia wao wanachanja Kodi ya kila mwaka kwa ndugu zetu toka familia Maskini yaan mtu yupo radhi akope awapelekee pesa Saudia kwa mwamvuli wa utaliiWapo kwa mamilioni uturuki,halafu hao wakimbizi waende hukohuko kwa waliowapelekea Vita makwao
Sasa hapo Rwanda. PAK kila mwezi anaandika invoice tu UK wanatuma paundi. Na hv kakataza adhana sijui itakuajeWana tabia za kiafrica, walichukuliwa utumwani wakashindwa Kazi za suluba nchi za american ya kusini ndo wakageukiwa waafrika wakapiga kazi
Wanatoa wao kodi,tundu linakuwasha wewe!Saudia wao wanachanja Kodi ya kila mwaka kwa ndugu zetu toka familia Maskini yaan mtu yupo radhi akope awapelekee pesa Saudia kwa mwamvuli wa utalii
Kila mwaka wamanga wanakula pesa kilainiiiWanatoa wao kodi,tundu linakuwasha wewe!
Hata wanaokuja kuiangalia Simba Serengeti na Kilimanjaro wanatupa hela kilaini,acha wivu na roho mbayaKila mwaka wamanga wanakula pesa kilainiii
Watapata hela mingiRwanda nchi ndogo,raia wake wanakimbilia Tanzania,lakini inaingia makubaliano kupokea watu!!
Lema angekua UK angeletwa RwandaWanajifichaje wakati wako chini ya ulinzi
Hii story umeitoa wapi?Ahahahaaa, hii ni sawa na wale wapalestina waliodandia ndege ya jeshi la marekani wakidhani itawapeleka marekani matokeo yake ikatua Entebbe.
Mkuu upo dunia gani toka tukio hili lilipotokea?.Hii story umeitoa wapi?
Kwahiyo Wapalesina wamekuwa Waafghan mara hii.Mkuu upo dunia gani toka tukio hili lilipotokea?.
👇🏾
Ingia DW, search hii story; Uganda yapokea wakimbizi wa Afghanistan, ni ya tarehe 25.08.2021
👆Ahahahaaa, hii ni sawa na wale wapalestina waliodandia ndege ya jeshi la marekani wakidhani itawapeleka marekani matokeo yake ikatua Entebbe.
Waafghanistan na KOBAZI zao wakashangaa wanatua Entebbe badala ya JF Kennedy International Airport NY.Kwahiyo Wapalesina wamekuwa Waafghan mara hii.