amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,199
Lowassa amewapiga Magufuli na Dr. Slaa home and away. Wao walishindwa kabisa kufanya mkutano Monduli kwa kukosa kabisa watu na wakaamua kiwasha gari zao kwenda arusha. Ila Lowassa aliwapiga mafuriko ya maana Chato na jana amewamaliza Karatu kwa nyomi ambalo wanaKaratu wanasema hawajawahi kuliona tangu wazaliwe.