Wanye ujuzi na hili naomba mnisaidiee plz

Wanye ujuzi na hili naomba mnisaidiee plz

HMJ

Senior Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
157
Reaction score
21
Habari zenu wakuu.....

Laptop yangu inanizingua kwenye upande wa network nimeweka modem imeconect vzr ila nikiingia kwenye Internet naambiwa no Internet connection tatizo litakua wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu.....

Laptop yangu inanizingua kwenye upande wa network nimeweka modem imeconect vzr ila nikiingia kwenye Internet naambiwa no Internet connection tatizo litakua wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakikisha unafanya configuration kwanza kabla ya kujaribu kuconnect, especcially kama ndio umeweka hiyo modem kwa mara ya kwanza.

Zile za APN no.
 
Fanya kuupdate drivers zako za network mkuu..huenda zimekuwa outdated
 
Back
Top Bottom