Wanyarwanda ni wapiganaji wa M23 (March 23)

Wanyarwanda ni wapiganaji wa M23 (March 23)

Ukwaju

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
13,384
Reaction score
11,281
Wanyarwanda wapiganaji wa M23


31 Julai, 2013 - Saa 12:53 GMt


130521161857_drc_m23_304x171_ap_nocredit.jpg


Raia wanne wa Rwanda wameambia BBC kwamba walilazimishwa na jeshi la nchi hiyo kujiunga na waasi wa M23 Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Wanne hao wamesema walitoroka mapigano na kwamba wanajaribu kuomba hifadhi katika nchi jirani ya Uganda.
Mmoja wa Wanyarwanda hao wamesema asili mia 90 ya wapiganaji wa M23 ni wanajeshi wa Rwanda.
Mwenzake ambaye ni mwanafunzi wa utabibu amesema amewahudumia wapiganaji 300 waliojeruhiwa kwa risasi.
Serikali ya Rwanda imekanusha kuunga mkono waasi wa M23. Msemaji wa jeshi la Rwanda Joseph Nzabamwita amesema wanne hao wanatumia kisingizio cha kulazimishwa jeshini ili kupata hifadhi.


Wanyarwanda wapiganaji wa M23 - BBC Swahili - Habari
My Take kutokana na habari za BBC Swahili ni kweli hawa jamaa saa hizi hawatajificha tena ni wao wanaoisumbua DRC na wamo vitani kwahiyo Paul Kagame kumtishia Jakaya Kikwete janja yake kwisha, waondoke tu DRC kabla ya masaa 48 waliyopewa wasalimishe silaha
 
Ni obvious Rwanda inaisaidia M23. Hawana pa kutokea.

Tutawapiga, nasema tutawapiga............"Mwalimu Nyerere"
 
Peleka hiyo garbage kwa wajinga wenzako,usinipotezee muda mshamba wewe.
Hata ulale kona gani wewe na Paul Kagame wako safari hii imekula kwenu, ninyi ni wauaji WAHEED (No 1)
Mnavuruga nchi za maziwa makuu hazitawaliki kwa ajili ya tamaa za kutawala, kwanini msitawaliwe? mnaona bora kukimbilia Pasadena Carlfonia kote tutawarudisha na Obama anawatambueni wote Watutsi mnajifanya eti uchumi unakuwa kumbe mnamaliza mali zetu,
pata ingine hiyo Commander in Chief ni kaka yako
https://www.jamiiforums.com/international-forum/496818-commander-in-chief-of-m23.html
 
Jwa mwendo huu wa watz kushadadia mambo yasiyowahusu eti ndo kujenga umoja wa kitaifa ccm itatawal milele na wacha itawale milele, watz tuna akili ndogo sn,. Kagame hajatuatjiri chochote wala hajagusa maslahi y)tu kiasi cha kumchukia hivi,. Nlifikiri rungemchukia sana yle mama anaetaka tunyang'anua ziwa letu ila upo hatupo lamana kwetu ni kagame tu,.. A+bu kwetu watz
 
Jwa mwendo huu wa watz kushadadia mambo yasiyowahusu eti ndo kujenga umoja wa kitaifa ccm itatawal milele na wacha itawale milele, watz tuna akili ndogo sn,. Kagame hajatuatjiri chochote wala hajagusa maslahi y)tu kiasi cha kumchukia hivi,. Nlifikiri rungemchukia sana yle mama anaetaka tunyang'anua ziwa letu ila upo hatupo lamana kwetu ni kagame tu,.. A+bu kwetu watz

Wewe ndiyo una akli ndogo kuliko hata punje ya Aladali, Watnzania ni wakimya ila ukiwatibua unaipata.
 
Wewe ndiyo una akli ndogo kuliko hata punje ya Aladali, Watnzania ni wakimya ila ukiwatibua unaipata.
una hasira sana?ingiza timu basi na wewe ukatoe kichapo sio kupiga kelele tuu hapa
 
Jwa mwendo huu wa watz kushadadia mambo yasiyowahusu eti ndo kujenga umoja wa kitaifa ccm itatawal milele na wacha itawale milele, watz tuna akili ndogo sn,. Kagame hajatuatjiri chochote wala hajagusa maslahi y)tu kiasi cha kumchukia hivi,. Nlifikiri rungemchukia sana yle mama anaetaka tunyang'anua ziwa letu ila upo hatupo lamana kwetu ni kagame tu,.. A+bu kwetu watz

Kagame ni ki Hitler cha Maziwa makuu, limesababisha siraha haramu zimezagaa nchini. Hata hivyo lilikuwana na mpango mahususi siku za baadae lije kwetu kutupora Kagera kama hujui. KUBALI KATAA, HUO NDIO UKWELI WENYEWE.
Kuhusu kile cha Malawi kiBanda hakisumbui kama hiki kigaidi cha Rwanda.
 
Kagame ni Hitler la Maziwa makuu, limesababisha siraha haramu zimezagaa nchini kwetu, na hata hivyo lilikuwana mopango mahususi siku za Baada live kwetu kutupora kutupora Kagera kama ujui. KUBALI KATAA, HUO NDIO UKWELI WENYEWE.
Kuhusu kile cha Malawi kiBanda hakisumbui kama hiki kigaidi cha Rwanda.
Damn,hata kama unamchukia Kagame atleast sema ukweli basi...kagame kupora kagera????:help: I hope hater wenzako waje wakuambie ukweli maana sasa mnaonekana kama wendawazimu tuu kutoa tuhuma kama hizi.
 
Damn,hata kama unamchukia Kagame atleast sema ukweli basi...kagame kupora kagera????:help: I hope hater wenzako waje wakuambie ukweli maana sasa mnaonekana kama wendawazimu tuu kutoa tuhuma kama hizi.

Waarabu wa Pemba? .............
 
Damn,hata kama unamchukia Kagame atleast sema ukweli basi...kagame kupora kagera????:help: I hope hater wenzako waje wakuambie ukweli maana sasa mnaonekana kama wendawazimu tuu kutoa tuhuma kama hizi.

Yapo mambo ambayo mpaka sasa mkoa wa Kagera unateseka nayo kwa sababu ya Wanyarwanda, mfano, tokea wakimbizi wa 1994 walipoingia mkoani Kagera kumekuwa na uharifu wa kutisha kwa kutumia siraha nzito nzito hasa kwenye Wilaya za Karagwe, Ngara, Muleba, na Biharamuro ni majanga tu.
 
Yapo mambo ambayo mpaka sasa mkoa wa Kagera unateseka nayo kwa sababu ya Wanyarwanda, mfano, tokea wakimbizi wa 1994 walipoingia mkoani Kagera kumekuwa na uharifu wa kutisha kwa kutumia siraha nzito nzito hasa kwenye Wilaya za Karagwe, Ngara, Muleba, na Biharamuro ni majanga tu.
So hiyo nayo ni kagame fault...acheni udwanzi mabwege nyie.
 
Hili ndo tatzo letu watz kudanganywadanganywa na hivi ndo tunaliangamiza taifa letu kwa kuamishiwa kwenye mambo ya kijinga na yasiyotuhusu kama haya
Kagame ni ki Hitler cha Maziwa makuu, limesababisha siraha haramu zimezagaa nchini. Hata hivyo lilikuwana na mpango mahususi siku za baadae lije kwetu kutupora Kagera kama hujui. KUBALI KATAA, HUO NDIO UKWELI WENYEWE.
Kuhusu kile cha Malawi kiBanda hakisumbui kama hiki kigaidi cha Rwanda.
 
So hiyo nayo ni kagame fault...acheni udwanzi mabwege nyie.

Tatizo lako sometimes unalopoka, kwenye comment yangu hakuna sehemu nimemtaja Kagame, nilichoonyesha ni jinsi gani matatizo ya Rwanda yanavyosumbua Mkoa wa Kagera.
Mkuu yaani Kagame kakuganda akilini kiasi kwamba hata comments sisizo mhusu unaziona kama zake? Teh teh teh teh.
 
Hili ndo tatzo letu watz kudanganywadanganywa na hivi ndo tunaliangamiza taifa letu kwa kuamishiwa kwenye mambo ya kijinga na yasiyotuhusu kama haya

Kudanganywa ni kweli tunadanganywa kwa mambo mengi na kuturudisha nyuma kiuchumi. Ndio maana hutoniona nikiunga mkono jambo lolote zaidi ya hili la kumpinga Kagame hata ikibidi kwa damu yangu. Nakubakiana na wewe kuwa JK ni dhaifu sana ndani. LAKINI sio kwa hili la Nduli Kagame. Kama anaweza kumtukana Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania, si ilibaki sisi kipigwa tu siku moja kwa kisingizio cha kiwaunga watusi wa kagera kupata uhuru. Ilikuwa ni suala la muda tu, lakini haya ya Kivu tungekuja kuyaona kwetu. Wale wahamiaji wa Rwanda katika wilaya za kagera ni mkakati madhubuti. Huwenda hata wao wenyewe hawajui kama baadae watakuja kutumiwa kuimega Tanzania. Hii ni mipango mikakati ya muda mfupi na muda mrefu. SASA kwanini tuwe wanyonge kiasi hiki na Nchi yetu. Upuuuuzii huu, hauvumiliki ni heri tuwatembezee Vyuma kwa maslai ya Taifa.
 
mkuu wanastahili kichapo hapo tena sana tu na kagame wao akamatwe dead or alive
 
mkuu wanastahili kichapo hapo tena sana tu na kagame wao akamatwe dead or alive
Mkuu jana si umemsikia kanali Massawe mkuu wa mkoa wa kagera keshaanza wafurusha, kweli watakaobaki waondolewe kwa kichapo na hata huyo Paul Kagame, kina Obama wamuingize na huo ushahidi ili tumpeleke The Hague hawezi kutusambaratisha na jirani zetu wa DRC na huku akimtisha rais wetu kuwa "mwacheni akiingia kwenye target yangu hatatoka'
 
Mkuu jana si umemsikia kanali Massawe mkuu wa mkoa wa kagera keshaanza wafurusha, kweli watakaobaki waondolewe kwa kichapo na hata huyo Paul Kagame, kina Obama wamuingize na huo ushahidi ili tumpeleke The Hague hawezi kutusambaratisha na jirani zetu wa DRC na huku akimtisha rais wetu kuwa "mwacheni akiingia kwenye target yangu hatatoka'
kagame ni jambazi ,jangiri n.k hata aTPDF wakiweza kumkamata leo hii obama atatu support
 
So hiyo nayo ni kagame fault...acheni udwanzi mabwege nyie.

Koba nilishakwambia siku nyingi hapa JF ukawa unaleta ubishi, sasa mwisho wa Kagame na kagenge chake cha wahuni kwishney........!
 
Back
Top Bottom