JWTZ, MANUSCO unganisheni operations za Congo na za kumkamata Kagame dead or alive

Eee Bwana na wewe koma kabisa kuwatisha watoto.
nani kakwambia kuwa mnyonge na kunyanyaswa na kina kagame na M7 ndio ufahari.
USA, ana majeshi katika Nchi ngapi?
Vita vya DRC vimetuathiri sana kwa ajili ya uvamizi wa huyo kagame huko kwani ndiye mwizi mkuu wa Madini.
Nani asiyefahamu kuwa ndiye aliyetungua ndege ya habyarimana walipotoka Arusha?
Acha Watanzania tukapigane maana hofu yako ni kuwa Rwanda itaingia tu katika hilo na Watutsi mtaabika
Uchumi wote wa DRC sasa unachukuliwa na Rwanda bado wanataka wapitishe mizigo Kigali toka Mombasa
Huwezi tawala Nchi yoyote bila vita hasa kwa hawa vidomidomo na katika Maandiko Vita vimo uliza kina Daudi, Solomoni mpaka kina Alexaner the great, Sasa hawa Watutsi watoke Ethiopia waje watawale amziwa Makuu na Tanzania tunyamaze huo Uchumi tutaendeleaje wakati Wakimbizi kila siku wako kwetu, Njia za reli kuvuka Ziwa Tanganyika kwenda Goma zimekufa.
Tafadhali usiwadanganye watoto kuwa wasiende kupigana huo ni UKIKE kabisa funga buti nenda mstari wa mbele pigana na huyo kagame kwanini kavamia Congo? sisi hatuendi Rwanda
Wasalimie waTutsi wenzako Koba murutongore waambie waliyoyataka sasa yanakuwa tunaenda wasaidia wenzetu DRC
Nina uhakika hata ulichoandika mwenyewe huelewi!
 
Eee Bwana na wewe koma kabisa kuwatisha watoto.
nani kakwambia kuwa mnyonge na kunyanyaswa na kina kagame na M7 ndio ufahari.
USA, ana majeshi katika Nchi ngapi?
Vita vya DRC vimetuathiri sana kwa ajili ya uvamizi wa huyo kagame huko kwani ndiye mwizi mkuu wa Madini.
Nani asiyefahamu kuwa ndiye aliyetungua ndege ya habyarimana walipotoka Arusha?
Acha Watanzania tukapigane maana hofu yako ni kuwa Rwanda itaingia tu katika hilo na Watutsi mtaabika
Uchumi wote wa DRC sasa unachukuliwa na Rwanda bado wanataka wapitishe mizigo Kigali toka Mombasa
Huwezi tawala Nchi yoyote bila vita hasa kwa hawa vidomidomo na katika Maandiko Vita vimo uliza kina Daudi, Solomoni mpaka kina Alexaner the great, Sasa hawa Watutsi watoke Ethiopia waje watawale amziwa Makuu na Tanzania tunyamaze huo Uchumi tutaendeleaje wakati Wakimbizi kila siku wako kwetu, Njia za reli kuvuka Ziwa Tanganyika kwenda Goma zimekufa.
Tafadhali usiwadanganye watoto kuwa wasiende kupigana huo ni UKIKE kabisa funga buti nenda mstari wa mbele pigana na huyo kagame kwanini kavamia Congo? sisi hatuendi Rwanda
Wasalimie waTutsi wenzako Koba murutongore waambie waliyoyataka sasa yanakuwa tunaenda wasaidia wenzetu DRC

Majiyachai. I advice yo to keep quite because there are some people here like this lunatic who is ignorant. They say "if you argue with a fool, you look a fool". I am sure if the war they are advocating started today, he will be the first to run.
 
Nina uhakika hata ulichoandika mwenyewe huelewi!
Ok labda ni hasira tu zilinipanda hasa kwa nyie Watutsi na murutongore iwapo sikueleweka lakini km hata hii link ya
Wanyarwanda wengi wakimbilia Uganda - BBC Swahili - Habari
992960_624671610884841_1494505807_n.jpg

wengi wa hawa Wanyarwanda sio Watutsi
Wanyarwanda wengi wakimbilia Uganda

Idadi kubwa ya raia wa Rwanda wameendelea kukimbia nchini mwao na kuomba hifadhi katika nchi jirani ya Uganda.
Licha ya juhudi za Rwanda kutaka raia wake walioko ugenini kurejeshwa nyumbani wakiwemo waliokimbia nchi mwaka wa 1958, kufuatia mapinduzi ya Ufalme, Wengi wa Wanyarwanda wangali na hofu ya usalama wao.

raia wa Rwanda wameendelea kuomba hifadhi Uganda kwa madai ya kutishwa na serikali kutokana ma misimamo yao ya kisiasa, baadhi wanadai kuwepo na ukiukaji wa haki za binadamu.

Hata hivyo siyo wote walioitikiwa maombi yao.Miezi miwili iliyopita, wanafunzi 16 wa Rwanda walitorokea Uganda kwa madai ya kulazimishwa kujiunga na wapiganaji wa M23 wanaoendesha harakati zao Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
130521161857_drc_m23_304x171_ap_nocredit.jpg

[h=1]Wanyarwanda wapiganaji wa M23[/h]
Raia wanne wa Rwanda wameambia BBC kwamba walilazimishwa na jeshi la nchi hiyo kujiunga na waasi wa M23 Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Wanne hao wamesema walitoroka mapigano na kwamba wanajaribu kuomba hifadhi katika nchi jirani ya Uganda.
Mmoja wa Wanyarwanda hao wamesema asili mia 90 ya wapiganaji wa M23 ni wanajeshi wa Rwanda.
Mwenzake ambaye ni mwanafunzi wa utabibu amesema amewahudumia wapiganaji 300 waliojeruhiwa kwa risasi.

Wanyarwanda wapiganaji wa M23 - BBC Swahili - Habari
 
Ok labda ni hasira tu zilinipanda hasa kwa nyie Watutsi na murutongore iwapo sikueleweka lakini km hata hii link ya
Wanyarwanda wengi wakimbilia Uganda - BBC Swahili - Habari
992960_624671610884841_1494505807_n.jpg

wengi wa hawa Wanyarwanda sio Watutsi
Wanyarwanda wengi wakimbilia Uganda

Idadi kubwa ya raia wa Rwanda wameendelea kukimbia nchini mwao na kuomba hifadhi katika nchi jirani ya Uganda.
Licha ya juhudi za Rwanda kutaka raia wake walioko ugenini kurejeshwa nyumbani wakiwemo waliokimbia nchi mwaka wa 1958, kufuatia mapinduzi ya Ufalme, Wengi wa Wanyarwanda wangali na hofu ya usalama wao.

raia wa Rwanda wameendelea kuomba hifadhi Uganda kwa madai ya kutishwa na serikali kutokana ma misimamo yao ya kisiasa, baadhi wanadai kuwepo na ukiukaji wa haki za binadamu.

Hata hivyo siyo wote walioitikiwa maombi yao.Miezi miwili iliyopita, wanafunzi 16 wa Rwanda walitorokea Uganda kwa madai ya kulazimishwa kujiunga na wapiganaji wa M23 wanaoendesha harakati zao Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
130521161857_drc_m23_304x171_ap_nocredit.jpg

Wanyarwanda wapiganaji wa M23


Raia wanne wa Rwanda wameambia BBC kwamba walilazimishwa na jeshi la nchi hiyo kujiunga na waasi wa M23 Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Wanne hao wamesema walitoroka mapigano na kwamba wanajaribu kuomba hifadhi katika nchi jirani ya Uganda.
Mmoja wa Wanyarwanda hao wamesema asili mia 90 ya wapiganaji wa M23 ni wanajeshi wa Rwanda.
Mwenzake ambaye ni mwanafunzi wa utabibu amesema amewahudumia wapiganaji 300 waliojeruhiwa kwa risasi.

Wanyarwanda wapiganaji wa M23 - BBC Swahili - Habari
Peleka hiyo garbage kwa wajinga wenzako,usinipotezee muda mshamba wewe.
 
Huo unaitwa ushambenga Mali za kongo zakusu nini wakati za kwako umegawa bure kwa wazungu. Wenzako wana akili wanachukua kiaina .
 
muda ukifika JWTZ rudini bongo hata siku TZ haijawahi kuwa short sighted na wazungu. hakuna soko la dhahabu na almasi africa, hakuna kiwanda cha silaha africa, zote hizo ni dela za wazungu wakishachukua watatengeneza movie kama ya blood diamond. Kama wazungu wapo serious waweke suction ya kununua na kuuza silaha afrika. france, usa na ndio wateja wazuri wa hizo mambo.
 
Kutokana na ukweli kwamba Jamii ya kimataifa imejiridhisha kuwa Raisi kagame anahusika moja kwa moja kwa kuwasaidia March 23(M23) kijeshi na misaada mingineyo ya ki-inteligensia na kusababisha kutokuwa na amani nchini congo,kuuawa kwa watu,kubakwa kwa wanawake na kusababisha wakongo kukimbia eneo la goma na mashariki ya kongo na kuwa wakimbizi basi Rais kagame anayo kesi ya kijibu ICCWeek iliyopita shirika la haki za binadamu duniani(HUMAN RIGHT WATCH-HRW) ilitoa repoti kwa kuwahoji hata baadhi ya askari wa kagame ambao walipewa amri kuvuka mpaka na kuwasaidia waasi wa M23,ripoti hiyo ilitoa takwimu kuanzia mwezi march watu 40 wameuawa na wanawake 60 kubakwa na waasi wa M23,serikali ya Kigali bila hata aibu ilikanusha madai haya na uhusika wakeSerikali ya washington vilevile ilitoa wito kwa Raisi Kagame kuacha maramoja kuwasaidia waasi wa M23.Hii lazima ikumbukwe ni mara ya pili juu ya tuhuma hizi kwa wale wanaofuatilia mambo mtakumbuka mwaka jana Rwanda iliwekewa vikwazo na serikali ya uingereza kwa kuhusika kwake na tuhuma hizi hiziUkweli wa mambo unajulikana Rais kagame anaendesha operations za kuiba madini nchini Kongo kwahiyo asingependa hata kidogo kuona kuna amani na ndio hata maana aliposikia Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania anamrisha JWTZ-TPDF kwenda kwenye ulinzi wa amani katika kikosi cha umoja wa mataifa(MANUSCO) alileta chuki binafsi na kuanza kumtolea maneno ya kejeli alipoambiwa afanye negotiations/mediations na FDRLJamii ya kimataifa imeshaliona hilo huu ni muda sasa wa kagame kutafutwa na kukamatwa akajibu tuhuma za kuwa adui wa amani ya CONGO kwa manufaa yake binafsi hivo basi natoa rai JWTZ,MANUSCO kwa weredi mkubwa hakikisheni operations za congo mnaunganisha na kumkamata kagame dead or alive kwa sababu anayo kesi ya kujibu ICC
ushauri umetolewa mara kadhaa kuwa huyu DC maarufu aliyeko kaskazini magharibi mwa Tanganyika akamatwe sijui ni kwa nini yupo anapumua hadi leo kwakweli huyu mtu ni kero kubwa kwa wananchi wa Goma na Kivu nchini. matendo anayowatendea sijui yanaakisi dhamira yake ya kuwakamata Interahamwe. interahamawe watabaki na hawezi kuwamaliza kabla hajafa. uhsuri aliopewa ulikuwa muafaka lakini yeye amedhamiria kuwamaliza interahamwe. dogo kaa meza meza moja na wauaji wenzako mkubaliane kuacha uhasama ambao ni KERO kwa jirani yako na Laana kubwa kwa MUUMBA. HAO RAIA UNAOWAUA KWA MKONO WA MAMALAKA YAKO WATAMLILIA MUNGU NA OLE BWANA ATAKAPOWASIKIA MABALAA HAYATKUISHIA NA MUDA HUO SIO MREFU UKARIBU SANA.
 
m23 wamepewa saa 48 na UN kuondoa majeshi kongo.
un wameongeza askari 3000 mashariki mwa Goma kusaidia kulinda amani na kuleta utulivu. Wamepewa kibali cha kutumia nguvu ikibidi.
wakimbizi kutoka rwanda wazidi kumiminika Uganda.
 
naunga mkono hoja, maana huyu jamaa ni hatari kwa ukanda wa EA.

Watanzania kwa kushadadia mambo yasiyowahusu ! Wajameni huyu Bwana Kagame mbona mnamshadadia yeye yuko inchini kwake na ameendesha nchi kwa ufanisi mkubwa hasa baada ya mauuaji ya kimbari
Hao mnaosema azungumze nao, siku walipokuwa wanaua watusi kwa mamilioni mbona hamkwenda kusaidia hili watu wasife.
Wakati mwingine haiigii akilini eti nenda ukapatane na jambazi ambaye ameua mtoto wako , mzazi wako.
Mbona kwetu hapa mambo yametushinda ( ccm mbona hamzungumzi na chadema na ambapo hata hamjafanyiana kitu kibaya kama hawa nterahamwe , ccm kuojiwa tu kwa ufisadi inauwa , je ingekuwa ka Rwanda mgefanya nii sijui )
Achana na wanyarwanda , jengeni nchi yenu , mwache Kagame afanye kazi
 
Hatujapigana vita zaidi ya miaka 30 lakini bado umaskini ndo unazidi kuota mizizi Tz!!Kwanini??
Nani aliekwambia umaskini wa Tanzania utaongezeka tukisaidia jirani zetu wanadhulumiwa haki yao ya kuishi kwa Amani na maisha ya ndugu zetu yanateketea kila siku kwa sababu ya walafi wachache(Kagame na Mu7). Rasilimali za Wakongomani ziwaendeleze wakongomani sio Kigali au Kampala.
Tatizo ni elimu yako haikutosha ungeweza kuona madhara ya hawa majamaa baadae yakishakaa vizuri na kuuzoea unyonyaji wao.
Siku zote Afrika itabaki kua moja.
We akili yako ni ya kuku,wewe huoni kama M7,PK na Kenya wana join forces??sera zao ni za cold war juzi walikaa kikao EAC bila JK wakafanya maamuzi ambayo kwa ufupi tu yanalenga kuhujumu uchumi wa tanzania kupitia mapato ya bidhaa na bandari Je wewe mwenye akili finyu huoni kama hiyo ni tishio na hujuma??Jumla ya majeshi na gharama zote zilizopelekwa Congo,sudani na Lebanon unadhani haitoshi kuipiga kata ya Rwanda??u r so pathetic


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Eee Bwana na wewe koma kabisa kuwatisha watoto.
nani kakwambia kuwa mnyonge na kunyanyaswa na kina kagame na M7 ndio ufahari.
USA, ana majeshi katika Nchi ngapi?
Vita vya DRC vimetuathiri sana kwa ajili ya uvamizi wa huyo kagame huko kwani ndiye mwizi mkuu wa Madini.
Nani asiyefahamu kuwa ndiye aliyetungua ndege ya habyarimana walipotoka Arusha?
Acha Watanzania tukapigane maana hofu yako ni kuwa Rwanda itaingia tu katika hilo na Watutsi mtaabika
Uchumi wote wa DRC sasa unachukuliwa na Rwanda bado wanataka wapitishe mizigo Kigali toka Mombasa
Huwezi tawala Nchi yoyote bila vita hasa kwa hawa vidomidomo na katika Maandiko Vita vimo uliza kina Daudi, Solomoni mpaka kina Alexaner the great, Sasa hawa Watutsi watoke Ethiopia waje watawale amziwa Makuu na Tanzania tunyamaze huo Uchumi tutaendeleaje wakati Wakimbizi kila siku wako kwetu, Njia za reli kuvuka Ziwa Tanganyika kwenda Goma zimekufa.
Tafadhali usiwadanganye watoto kuwa wasiende kupigana huo ni UKIKE kabisa funga buti nenda mstari wa mbele pigana na huyo kagame kwanini kavamia Congo? sisi hatuendi Rwanda
Wasalimie waTutsi wenzako Koba murutongore waambie waliyoyataka sasa yanakuwa tunaenda wasaidia wenzetu DRC

Unavyosema twende kupigana vita na wewe unakuwepo?


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
We akili yako ni ya kuku,wewe huoni kama M7,PK na Kenya wana join forces??sera zao ni za cold war juzi walikaa kikao EAC bila JK wakafanya maamuzi ambayo kwa ufupi tu yanalenga kuhujumu uchumi wa tanzania kupitia mapato ya bidhaa na bandari Je wewe mwenye akili finyu huoni kama hiyo ni tishio na hujuma??Jumla ya majeshi na gharama zote zilizopelekwa Congo,sudani na Lebanon unadhani haitoshi kuipiga kata ya Rwanda??u r so pathetic

think out side the box mwekundu ..
hivi huoni kwamba rasilimali anazoiba Kongo ndo zinamfanya anaimarika kiuchumi wakishirikiana na Mu7 afu wanamvuta Kenyatta ili waweze kufikia malengo yao kupitia mgongo wa EAC?? Kutumia miundombinu na bandari ya Kenya sio tatizo kwetu,tuna nafasi kubwa zaidi ya kufanya biashara kuliko Mombasa la msingi ni kujiimarisha kama Dola Imara hapa EA.
Na kwa kuonesha hawatafika mbali angalia mkutano wa jana Nairobi ulivyopwaya.. TZ itaendelea kua sahihi kwa miaka kumi zaidi mbeleni kupeleka majeshi Mashariki ya Kongo kukomesha hujuma za wapuuzi wachache, na mtakaopinga mna muono wa urefu wa pua zenu..
Wanyarwanda wengi wakimbilia Uganda - BBC Swahili - Habari
 
Watanzania kwa kushadadia mambo yasiyowahusu ! Wajameni huyu Bwana Kagame mbona mnamshadadia yeye yuko inchini kwake na ameendesha nchi kwa ufanisi mkubwa hasa baada ya mauuaji ya kimbari
Hao mnaosema azungumze nao, siku walipokuwa wanaua watusi kwa mamilioni mbona hamkwenda kusaidia hili watu wasife.
Wakati mwingine haiigii akilini eti nenda ukapatane na jambazi ambaye ameua mtoto wako , mzazi wako.
Mbona kwetu hapa mambo yametushinda ( ccm mbona hamzungumzi na chadema na ambapo hata hamjafanyiana kitu kibaya kama hawa nterahamwe , ccm kuojiwa tu kwa ufisadi inauwa , je ingekuwa ka Rwanda mgefanya nii sijui )
Achana na wanyarwanda , jengeni nchi yenu , mwache Kagame afanye kazi
Wewe mchovu Kagame mpaka kesho anaendelea kuua ..
Wanyarwanda wengi wakimbilia Uganda - BBC Swahili - Habari
 
Peleka hiyo garbage kwa wajinga wenzako,usinipotezee muda mshamba wewe.

mbona unakua mkali??au na wewe ni beneficiary wa utawala wa kagame nini??
Anayeishi kwa upanga atakufa kwa upanga.
 
We akili yako ni ya kuku,wewe huoni kama M7,PK na Kenya wana join forces??sera zao ni za cold war juzi walikaa kikao EAC bila JK wakafanya maamuzi ambayo kwa ufupi tu yanalenga kuhujumu uchumi wa tanzania kupitia mapato ya bidhaa na bandari Je wewe mwenye akili finyu huoni kama hiyo ni tishio na hujuma??Jumla ya majeshi na gharama zote zilizopelekwa Congo,sudani na Lebanon unadhani haitoshi kuipiga kata ya Rwanda??u r so pathetic

think out side the box mwekundu ..
hivi huoni kwamba rasilimali anazoiba Kongo ndo zinamfanya anaimarika kiuchumi wakishirikiana na Mu7 afu wanamvuta Kenyatta ili waweze kufikia malengo yao kupitia mgongo wa EAC?? Kutumia miundombinu na bandari ya Kenya sio tatizo kwetu,tuna nafasi kubwa zaidi ya kufanya biashara kuliko Mombasa la msingi ni kujiimarisha kama Dola Imara hapa EA.
Na kwa kuonesha hawatafika mbali angalia mkutano wa jana Nairobi ulivyopwaya.. TZ itaendelea kua sahihi kwa miaka kumi zaidi mbeleni kupeleka majeshi Mashariki ya Kongo kukomesha hujuma za wapuuzi wachache, na mtakaopinga mna muono wa urefu wa pua zenu..
Wanyarwanda wengi wakimbilia Uganda - BBC Swahili - Habari
we have to take care of him bro.... huyu mtu ni hatari ambition yake haitaishia hapo tu si unajua ukishakunywa damu unaendelea??ipo siku atatamani na kuivuruga tanzania kama alivyofanya congo-kwani tunaona kila dalili utawala wake ni wa kifalme hategemei leo wala kesho kung'atuka
 
we have to take care of him bro.... huyu mtu ni hatari ambition yake haitaishia hapo tu si unajua ukishakunywa damu unaendelea??ipo siku atatamani na kuivuruga tanzania kama alivyofanya congo-kwani tunaona kila dalili utawala wake ni wa kifalme hategemei leo wala kesho kung'atuka

Ndio maanake, ila tushukuru Mungu bro Obama ameshaanza kumuundia zengwe lazima atakaa Blair hawezi mkingia kifua kwa namna yoyote.
 
Back
Top Bottom