Wanyarwanda kweli watamu (members only)

" Masela wa kwangu, mademu wa platinum " huyu Jamaa arekebishe kauli yake!
 
We mtoa mada lofa, yeyote aliyeumbwa na Bwana ni mzuri. Usiharibu uumbaji wa Mola kwa kuweka vionjo vya kibinadamu.
 
Ha ha ha! Watu mna maneno! Ila acha kumkosoa Muumbaji. Everything He created was good & perfect.
 
Hakuna sehemu yenyewe wanawake wazuri kama Tanzania bana. Tanzania ni mwisho.
 
tobaaaaaaaaaaa hata mimi sitii mguu hapo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…