Alex Hamadi Hamis
Member
- Apr 18, 2017
- 81
- 51
Habari za leo Wana JF!
Niko katika harakati za kuanza biashara ya samaki wa kukaanga kutoka bwawa la Nyumba ya Mungu (Moshi, Kilimanjaro). Na kama ambavyo title inasema, ninatafuta wanunuzi wa jumla wa samaki hizi (Perege & Kambale)
Masoko ninayoyatarajia ni Dar es Salaam, Arusha, Tanga pamoja na Mwanza (Kama una option ya mkoa tofauti usijali kuuliza)
Samaki ni wazuri, wana ukubwa wa kutosha, na wanavuliwa kwa namna halali pia. Kama upo serious, karibu tuzungumze biashara.
Tuwasiliane hapa: +255676095799 | +255766068456, alexhamistz@yahoo.com
Asanteni!
Niko katika harakati za kuanza biashara ya samaki wa kukaanga kutoka bwawa la Nyumba ya Mungu (Moshi, Kilimanjaro). Na kama ambavyo title inasema, ninatafuta wanunuzi wa jumla wa samaki hizi (Perege & Kambale)
Masoko ninayoyatarajia ni Dar es Salaam, Arusha, Tanga pamoja na Mwanza (Kama una option ya mkoa tofauti usijali kuuliza)
Samaki ni wazuri, wana ukubwa wa kutosha, na wanavuliwa kwa namna halali pia. Kama upo serious, karibu tuzungumze biashara.
Tuwasiliane hapa: +255676095799 | +255766068456, alexhamistz@yahoo.com
Asanteni!