Wanufaika wote wa mikopo batch ya 8 tukutane hapa

Wanufaika wote wa mikopo batch ya 8 tukutane hapa

moyafricatz

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2015
Posts
2,905
Reaction score
4,928
Habarini wakuu.
Wale wote tuliobahatika kupata mkopo batch ya nane wa Vyuo vyote tukutane hapa tujue tunafanyeje maana mwezi wa pili huu bado hatujafanikiwa kupewa stahiki zetu.
Mawaziri wetu Wa mikopo wanasema bodi walikua wanafanya "verification" na baada ya hapo tutatumiwa.
Kama mwingine Ana info zozote za kinachoendea bodi tufahamishane
 
Habarini wakuu.
Wale wote tuliobahatika kupata mkopo batch ya nane wa Vyuo vyote tukutane hapa tujue tunafanyeje maana mwezi wa pili huu bado hatujafanikiwa kupewa stahiki zetu.
Mawaziri wetu Wa mikopo wanasema bodi walikua wanafanya "verification" na baada ya hapo tutatumiwa.
Kama mwingine Ana info zozote za kinachoendea bodi tufahamishane
yaani toka muonekane mpo kwenye allocation hamjawahi kuingiziwa fedha? au hata kusaini hizo pesa za mkopo hamjasaini?
 
yaani toka muonekane mpo kwenye allocation hamjawahi kuingiziwa fedha? au hata kusaini hizo pesa za mkopo hamjasaini?
Hata kusaini bado mkuu.
Tumejiona tu kwenye allocation.
 
Habarini wakuu.
Wale wote tuliobahatika kupata mkopo batch ya nane wa Vyuo vyote tukutane hapa tujue tunafanyeje maana mwezi wa pili huu bado hatujafanikiwa kupewa stahiki zetu.
Mawaziri wetu Wa mikopo wanasema bodi walikua wanafanya "verification" na baada ya hapo tutatumiwa.
Kama mwingine Ana info zozote za kinachoendea bodi tufahamishane
hii batch ilitolewa mwezi wa ngapi
 
Habarini wakuu.
Wale wote tuliobahatika kupata mkopo batch ya nane wa Vyuo vyote tukutane hapa tujue tunafanyeje maana mwezi wa pili huu bado hatujafanikiwa kupewa stahiki zetu.
Mawaziri wetu Wa mikopo wanasema bodi walikua wanafanya "verification" na baada ya hapo tutatumiwa.
Kama mwingine Ana info zozote za kinachoendea bodi tufahamishane
Mbona hapa udom kwetu hiyo batch 8 haijaletwa bado
 
ilikuja lini mkuu,na unyamela ni upi
Saiv itakua wik tatu kama sio nne unyemela wake ni kwamba majina hayabandikwa ata notes board ila kwa bahat nasibu ukienda ofis husika ndo unakuta kuna io kartas ya wanufaika unaweza ikakupita bila kujua ata
 
Saiv itakua wik tatu kama sio nne unyemela wake ni kwamba majina hayabandikwa ata notes board ila kwa bahat nasibu ukienda ofis husika ndo unakuta kuna io kartas ya wanufaika unaweza ikakupita bila kujua ata
duh
 
ila hapa udom naona huwa ikitoka tu inabandikwa chap
basi nais itakua inategemea na uongozi wa chuo kwenye suala la ufikishaji wa taarifa inawezekana huku hawako serios sana
 
Back
Top Bottom