Arranged marriage?Bro thanks,but what you really need to understand is i married a girl from a wealthy family and she is beautifull.but from these 3 years we've lived together am fed up with her and i cant just divorce her right away bcoz of my parents.
Najua unachotaka kujua ni anafanya Kazi gani, ili ujue kwamba anahela au kapuku.Ungeelezea personality yako kwanza ili tujue ukoje tutakapoanza urafiki isije kuwa na sisi ni type ya mkeo ukakwazika mara7
So you were 24 ulipooa right?
Najua unachotaka kujua ni anafanya Kazi gani, ili ujue kwamba anahela au kapuku.
Maybe ni utoto.Yeah yeye akiwa 20
Nampenda sana
Sasa si upige chini unalialia nini ?My marriage is a mess,its painfull when someone you care and love doesnt appreciate anything you do to her.
au inaezekana hatombwi ipasavyoMaybe ni utoto.
Shida yake haswa ni nini?
Kama urafiki wangu na wewePole mno kwa changamoto!
Ila kuwa humu ndani tayari una marafiki wa kutosha!
Ukiwa haupo sawa ingia humu pita kwenye majukwaa, kuna story za kutosha! Nyingine zinatia moyo, zinachekesha, zinafundisha unaweza kutana na mada ukahisi wewe unaishi paradiso!
Halafu urafiki wa humu huwa unakuja automatically tuu unajikuta una marafiki wa kutosha!
Pole mno!
EwaaaaaKama urafiki wangu na wewe
Sema nini.....Ewaaaaa
Hamna kutuma maombi wala nini jamaniii!
Nakusikiliza mimi jamaniiiSema nini.....
Kigugumizi....Nakusikiliza mimi jamaniii
Njoo pm uniambie hebuKigugumizi....
Nitanena kwa lugha halafu utaweweseka, utanitimuaaaa
Naanzaje eti kukutimua mimi