Wanted: Dead or Alive!!!

Wanted: Dead or Alive!!!

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inatoa hadi dola milioni 15 kwa taarifa kuhusu watu binafsi na mitandao ya kifedha inayohusiana na shughuli za uzalishaji wa ndege zisizo na rubani za Iran, ikitambua watu kadhaa wanaohusiana na KIPAS - tawi la uzalishaji wa ndege zisizo na rubani la Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Quds kinachohusika katika shughuli za uundaji na usambazaji wa ndege zisizo na rubani.

View attachment 3588945
yaani Marekani imekosa kazi, imejawa hofu na kushindwa na Irani kiteknolojia kiasi hicho? dah! Dunia inaenda kwa kasi sana aise 🐒
 
Huyo mzee wa uharo msihangaike nae sana,kisha changanyikiwa na maisha toka kitambo tu,

Ameamua tu kujifariji kwa kujifanya Yahudi mweusi wa Tandale kwa mkunduge.
giphy.gif
 
Zee la uharo.

Yahudi la kuchovya kutoka kimanzichana.

Mabwana zako si wamesema wameharibu uwezo wa kijeshi wa Iran na wamewarudisha zama za mawe.
Mwarabu-koko endelea kujitekenya na Kucheka mwenyewe!! Kipondo kiko palepale!!
 
yaani Marekani imekosa kazi, imejawa hofu na kushindwa na Irani kiteknolojia kiasi hicho? dah! Dunia inaenda kwa kasi sana aise 🐒
Kwa akili yako mgando hivyo unafikiri Iran kwa kupoteza viongozi wake wa kiraia na kijeshi unaita kashinda vita? Ama kweli kwenye Madjid-Ubwabwa mnadanganyana sana!!
 
Kwa akili yako mgando hivyo unafikiri Iran kwa kupoteza viongozi wake wa kiraia na kijeshi unaita kashinda vita? Ama kweli kwenye Madjid-Ubwabwa mnadanganyana sana!!
hakuna mahali nimeeleza alieshindwa vita kati ya Marekani na Irani gentleman, bali kuna nchi imelemewa au kushindwa kiteknolojia dhidi ya nyingine hapo.

ila ninachokiona hapo, ni Marekani kujawa hofu na kiwewe dhidi ya mipango ya Irani isiyojulikana dhidi ya Marekani, na inayosukwa na hao wanamapinduzi wachache kati ya wengi ambao Marekani imewatambua.

Hii ikiashiria kwamba, lolote linaweza kutokea wakati wa michuano ya kombe la duniani litakaloanza hivi karibuni, hasa kwenye kituo cha Marekani 🐒
 
hakuna mahali nimeeleza alieshindwa vita kati ya Marekani na Irani gentleman, bali kuna nchi imelemewa au kushindwa kiteknolojia dhidi ya nyingine hapo.
Kwa hiyo sasa Iran imeizidi Teknolojia Marekani? Ama kweli Ukiwa Mfuga Midevu na Majini ni Janga la taifa!!

ila ninachokiona hapo, ni Marekani kujawa hofu na kiwewe dhidi ya mipango ya Irani isiyojulikana dhidi ya Marekani, na inayosukwa na hao wanamapinduzi wachache kati ya wengi ambao Marekani imewatambua.
Aliyekudanganya Marekani imejawa na Hofu na kiwewe nani au hixo ni hisia zako?

Kwa hiyo na sisi unataka tukuamini kuwa Marekani ana hofu na kiwewe,? Kwa lipi na kivipi?
 
Kwa hiyo sasa Iran imeizidi Teknolojia Marekani? Ama kweli Ukiwa Mfuga Midevu na Majini ni Janga la taifa!!


Aliyekudanganya Marekani imejawa na Hofu na kiwewe nani au hixo ni hisia zako?

Kwa hiyo na sisi unataka tukuamini kuwa Marekani ana hofu na kiwewe,? Kwa lipi na kivipi?
Gentleman,
kulikoni sasa Marekani aombe msaada duniani kote tena kwa kumwaga madola ya pesa?🤣

hiyo si inamaanisha teknilojia yake imeshindwa kubaini mipango ya Irani dhidi yake, lakini hiyo inatoa picha kua Irani ni tishio kijeshi na kiteknolojia duniani na haiyumbishwi na yeyote ulimwenguni kijeshi au kiuchumi.

Ni wazi Marekani amajawa kiwewe, hajui Irani ataibamiza wapi na kutokea upande upi 🐒
 
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inatoa hadi dola milioni 15 kwa taarifa kuhusu watu binafsi na mitandao ya kifedha inayohusiana na shughuli za uzalishaji wa ndege zisizo na rubani za Iran, ikitambua watu kadhaa wanaohusiana na KIPAS - tawi la uzalishaji wa ndege zisizo na rubani la Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Quds kinachohusika katika shughuli za uundaji na usambazaji wa ndege zisizo na rubani.

View attachment 3588945
Mwaka huu litrump anaona dunia kwamba ina mwenyewe ambae ameiumba
 
Gentleman,
kulikoni sasa Marekani aombe msaada duniani kote tena kwa kumwaga madola ya pesa?🤣

hiyo si inamaanisha teknilojia yake imeshindwa kubaini mipango ya Irani dhidi yake, lakini hiyo inatoa picha kua Irani ni tishio kijeshi na kiteknolojia duniani na haiyumbishwi na yeyote ulimwenguni kijeshi au kiuchumi.

Ni wazi Marekani amajawa kiwewe, hajui Irani ataibamiza wapi na kutokea upande upi 🐒
Kwa akili yako mgando unataka kuwafunfisha Marekani hata namna ya wao kufanya kazi!!
 
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inatoa hadi dola milioni 15 kwa taarifa kuhusu watu binafsi na mitandao ya kifedha inayohusiana na shughuli za uzalishaji wa ndege zisizo na rubani za Iran, ikitambua watu kadhaa wanaohusiana na KIPAS - tawi la uzalishaji wa ndege zisizo na rubani la Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Quds kinachohusika katika shughuli za uundaji na usambazaji wa ndege zisizo na rubani.

View attachment 3588945
Sasa marekani anatangaza dau ili nani awakamate wakati yeye kashindwa kwa mwezi mzima aliowashambulia Iran?
 
Sasa marekani anatangaza dau ili nani awakamate wakati yeye kashindwa kwa mwezi mzima aliowashambulia Iran?
Hi ndio point muhimu sana kuitazama kashindwa yeye labda msafisha vyoo kule Tela Aviv Echolima1 anaweza kuja na uharo kuliko wa USA huoni ana jamba jamba anataka kuharisha Iran kuwapiga bomba safari hii wataharisha tu watake wasitake
 
Sasa marekani anatangaza dau ili nani awakamate wakati yeye kashindwa kwa mwezi mzima aliowashambulia Iran?
Kwani Marekani kaanza leo kutoa Donge nono? Kwa magaidi wote huwa anatoa done nono na hii kwake ni kawaida hakuna cha ajabu hapo!!
 
Back
Top Bottom