Wanne kati ya sita waliojaribu kumteka Tarimo wahukumiwa kwenda jela miaka saba

Wanne kati ya sita waliojaribu kumteka Tarimo wahukumiwa kwenda jela miaka saba

Tukio hilo lilitokea Novemba 11, 2024 eneo la Kiluvya Madukani, Wilaya ya Kinondoni, ambapo inadaiwa washtakiwa walipanga kumteka Tarimo wakitumia mtego uliopangwa na Anitha Temba, aliyemshawishi mfanyabiashara huyo wakutane kwenye hoteli kwa mazungumzo ya biashara.
CC Mbaga Jr
 
Back
Top Bottom