Good gal.... Ndio maana you are my favorite niece (Mwali usimwambie). Usisahau report ya shule ukija....
Mmmh dada Kaunga!Ushaona kaka akamuonea wivu dada yake?Basi hapo mimi nimeona wivu jamani.Lakini waswahili wanasema mwenye dada hakosi shemeji kwahiyo ngoja niwe mpole tu
mapenzi magumu nimetumia vyote nilivonavyo lakini wa kunipenda hakuna
Kaka ukiona dada anachemsha, unapita kimya kimya tu kama hujaona; nnmh hadi naanza kuona aibu sasa!
kuna watu mapenzi hayatufanyii fair kwa kweli sijui hata ni kwa nini?labda akina sisi hatujakuona ..
Anyway vitu vizuri havitaki haraka endelea ku-enjoy life siku ukipata propose itakuwa ni ya kweli.
nipo kaka namwambia tu mtoa mada ukweli tumejitahidi lakini wapismile not again bana,nimeshakukataza kuwa mnyonge hivyo.acha yaliyopita yapite,tusipoyasahau tutakuwa tunakuja na thread za kusikitisha kila siku.hujambo mdogo angu jamani?
nipo kaka namwambia tu mtoa mada ukweli tumejitahidi lakini wapi
Basi dada hata mama sitamwambia maana utakuwa umbea huo.Si unajua wamama wa LUKULA kule wanavyo-mind mambo kama hayo.Lakini dada ulifurahia hiyo message ehe
sasa nataka nijoi no ... Attached source my kongoshopolee. . . .
sasa nataka nijoi no ... Attached source my kongosho
kuna watu mapenzi hayatufanyii fair kwa kweli sijui hata ni kwa nini?
mi naweza sina majilasi mieuna kifua? Utaweza?
Hiyo mie sikushauri, utajikuta unamwagia mtu tindikali.
mi naweza sina majilasi mie
labda yeye ila mimi kweli sijalihuna majilasi sababu hujampata huyo mtu
ukimpata halafu akafikia viwangi vyako? Utajikuta:nod: Majilasi yanakuja:nod: Yenyewe bila kuyaruhusu.
Chezeiya moyo ulokuwa na kiu ya kupendwa weye!
labda yeye ila mimi kweli sijali
asante jamani!!!Any man's dream...., Hongera sana Daileen and keep it up.