Wangelia je..?

Wangelia je..?

Je unajua kuna vilio vya furaha?
Ama je wajua kwamba kuna shangwe za huzuni?
Si kila cheko ni furaha na si kila chozi ni huzuniView attachment 3665390
Kwangu mimi,
kuishi ni Kristo na kufa ni faida gentleman.

Ni muhimu sana waTanzania wote kufurahia na kusherehekea mchango na maisha ya hayati Hafidhi Ameir hapa duniani, kama ambavyo daima tunafurahia na kumshukuru Mungu kwa kuomba misa na ibada za shukrani kwa Mungu kwaajili ya zawadi za maisha kwa waliojaaliwa marehemu ndugu, jamaa na marafiki wa familia zetu 🐒
 
Polen sana
1788561189425.jpg
 
walipanda na kuvuna chuki now wanashangaa kuona mbegu zao zimeruka na kuingia mashamba ya wengine.

Wanapambana na matokeo ya chuki(Sherehe) badala ya kutafakari chanzo.

Watu wanajaribu kupunguza maumivu yaliyoawajaa kutokana na matendo ya watawala kwa jamii(wacha tulewe)

Ukipanda chuki lazima uvune chuki.
 
Back
Top Bottom