Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Kuhusu vurugu za jana za pale Ukumbi wa Mikutano wa Blue Pearl zilizomuathiri Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba na wenzake. Laiti waleta vurugu mle wangekuwa wapinzani...
Kwanza, wangekamatwa ndani ya dakika mbili.
Pili, wangeondoshwa Ukumbini chini ya ulinzi mkali kupata kuonekana nchini Tanzania
Tatu, wangepelekwa leo hii Mahakamani chini ya ulinzi mkali mno
Nne, wangesomewa mashtaka mazito yasiyo hata na dhamana (kama ugaidi)
Tano, vyama vyao visingebaki salama.NAWAZA MAMBO KWA KINA TU"!
LAKINI, akina Paul Makonda ndiyo kwanza wanaitisha Press Conference 'kupambanua' kilichotokea. Nchi hii!? Tuendelee....
Kwanza, wangekamatwa ndani ya dakika mbili.
Pili, wangeondoshwa Ukumbini chini ya ulinzi mkali kupata kuonekana nchini Tanzania
Tatu, wangepelekwa leo hii Mahakamani chini ya ulinzi mkali mno
Nne, wangesomewa mashtaka mazito yasiyo hata na dhamana (kama ugaidi)
Tano, vyama vyao visingebaki salama.NAWAZA MAMBO KWA KINA TU"!
LAKINI, akina Paul Makonda ndiyo kwanza wanaitisha Press Conference 'kupambanua' kilichotokea. Nchi hii!? Tuendelee....