katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,756
Tayri nimeshapata chombo yna2 anafiti kila upande hivyo huu uzi haunifai aseee kwaheriniUsiogope mimi nipo njia panda ila kama wewe upo single na una wish kuwa na kitu amazing tuambie Vijana na wasichana.
Huu ndio muda wakushuka shukeni.
Mtu ashuke tu mimi nipo single na ningependa kuwa na demu wa aina hii.
Au na mfeel mtu huyu.
Tiririkeni .
D M A A ndio wepi hao we katoto?Msisifie kuweni wa ukweli mimi ningekuwa siko njia panda ninge kuwa ga na hawa couze ni wengi wananivutia .
D M A A ndio hao
Wapo humuD M A A ndio wepi hao we katoto?
Umetirika hongereni sana atakula viepe hadi raha
Nope nimenyimwa kwa afya
Vipi na wewe unatamani kiepe mkuu?
Unapendelea nini zaidi?Nope nimenyimwa kwa afya
siku zote navyosema niko singo humu hua hunioni au dharau tu.. narudia tena am single sasa huu ndio muda wenye kuunganisha mbawa tupae pamojaUsiogope mimi nipo njia panda ila kama wewe upo single na una wish kuwa na kitu amazing tuambie Vijana na wasichana.
Huu ndio muda wakushuka shukeni.
Mtu ashuke tu mimi nipo single na ningependa kuwa na demu wa aina hii.
Au na mfeel mtu huyu.
Tiririkeni .
ππππ haya bhanasiku zote navyosema niko singo humu hua hunioni au dharau tu.. narudia tena am single sasa huu ndio muda wenye kuunganisha mbawa tupae pamoja
de nada mi companero hermoso katoto kazur..
Ila from now onwards nipo njia panda
haya bana sio suruhisho u're single am sngle too, hold ma hand and lets make acouple..ππππ haya bhana
Wa kutafuta wachumbaHuu Uzi bana