Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
Leo ktk pita pita zangu WhatsApp status video nikamwona cousin wangu kaweka wimbo huu wa wanamziki wa Gospel wanaitwa "Makoma"
Doh ulinikosha sana naupendaje alafu hauchuji unaitwa Butu na Moyi
Wangapi wanaujua huu wimbo?!
Kama unaujua wewe ni muhenga unatakiwa uwe umeshawowa /olewa na una watoto
Cc:
Honey 50thebe huu wimbo ulikuwa ushazaliwa au ulikuwa kwa tumbo ya mamayako?!
Doh ulinikosha sana naupendaje alafu hauchuji unaitwa Butu na Moyi
Wangapi wanaujua huu wimbo?!
Kama unaujua wewe ni muhenga unatakiwa uwe umeshawowa /olewa na una watoto
Cc:
Honey 50thebe huu wimbo ulikuwa ushazaliwa au ulikuwa kwa tumbo ya mamayako?!