Wangapi wameshakutana na changamoto katika kukopesha marafiki?

Wangapi wameshakutana na changamoto katika kukopesha marafiki?

Daaah yani niliingia mkenge nikamkopesha broo pesa ya riba 360000 na nyingine kwa mtu mwingine 150000...alafu nilikuwa sina kitu chochote ila alinipa mikakati ya biashara tushirikiane na kila mwezi anarjrsha elfu 60....kumbe mwenzangu ana ramani yake mwisho wa siku nikauza vitu mpaka vya ndani kulipa deni...alafu yeye ukimpigia simu hapokei ...na mpaka leo hajawahi lipa hata sent....na mimi na taabika kulipa deni...daaaaah sikuamin na undugu wenyewe nikatupilia ndani...(ila nilipata tetesi alitumia kiasi cha pesa kumuhonga daktari afanye Abortion...)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
siku moja nilimkopa mshkaji wangu buku 5, ikawa mbinde kulipa mpaka kasahau. Basi siku ya siku tukaenda cafeteria tukala msosi,kila mmoja akajilipia bili. Yeye alitoa buku 10 akawa anasubiri chenji. Mama ntilie kaenda kutafuta chenji,mshkaji akawa katoka nje kuongea na simu. Mama ntilie alivyorudi akanikabidhi chenji ya mshkaji wangu, mi nikakata buku 5 yangu,iliyobaki nikampa mshkaji. Nikamwambia ile buku 5 yangu ulokuwa unanizungusha nimeshaikata juu kwa juu . Jamaa akawa hana namna ya kujitetea mana alikua na 20k nyingine kwa wallet

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nilishaacha kabisa kukopesha marafiki, kama sina ya kukupa jumla, basi ya kukopa ndo haipo kabisaa. Siwezi tena kuendelea kukosa marafiki kisa deni, nilio nao nawapenda sana, siwezi kuhimili.kuwakosa, teh!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli tusiwapoteze tunaowapenda kwa kuwakopesha teh
 
Haha nimecheka kama mazuri.
Yani siku hizi ukimkopesha rafiki, jua kuna possibility kubwa 2
1. Kupoteza pesa
2. Kupoteza urafiki

Btw nawasubiri mwenzangu na mimi tunaokopa afu hatutaki kulipa
Hakuna kitu naogopa kama deni, yaani siwi na amani kabisaaa. Hata simu ikiita nahisi ni anayenidai anapiga lol

Niliwahi mkopesha rafiki mwisho tukaishia kugombana.
Ili nisimpoteze kama rafiki ilibidi niombe msamaha mimi na nisamehe pesa na maisha yaendelee.

Uzuri ni kwamba hakuna kukopana tena sababu ya historia
 
Hakuna kitu naogopa kama deni, yaani siwi na amani kabisaaa. Hata simu ikiita nahisi ni anayenidai anapifa lil

Niliwahi mkopesha rafiki mwisho tukaishia kugombana.
Ili nisimpoteze kama rafiki ilibidi niombe msamaha mimi na nisamehe pesa na maisha yaendelee.

Uzuri ni kwamba hakuna kukopana tena sababu ya historia
Haha pata picha muda wa kulipwa mtu hapokei simu yako wala hajibu messages zako; ukimpigia kwa namba mpya fasta anapokea.
Au mwingine anakujibu tu easy" hela niliyokuwa naitegemea nikulipe sijapewa bado, so sina cha kufanya kwa sasa, endelea kusubiri"

Yani ukikopa bana, mtu aaweza akakupigia tu kukusalimia, Ila ukahisi anaulizia hela yake teh
 
Haha pata picha muda wa kulipwa mtu hapokei simu yako wala hajibu messages zako; ukimpigia kwa namba mpya fasta anapokea.
Au mwingine anakujibu tu easy" hela niliyokuwa naitegemea nikulipe sijapewa bado, so sina cha kufanya kwa sasa, endelea kusubiri"

Yani ukikopa bana, mtu aaweza akakupigia tu kukusalimia, Ila ukahisi anaulizia hela yake teh
Yaani hata hauishi kwa amani.
 
Daaah yani niliingia mkenge nikamkopesha broo pesa ya riba 360000 na nyingine kwa mtu mwingine 150000...alafu nilikuwa sina kitu chochote ila alinipa mikakati ya biashara tushirikiane na kila mwezi anarjrsha elfu 60....kumbe mwenzangu ana ramani yake mwisho wa siku nikauza vitu mpaka vya ndani kulipa deni...alafu yeye ukimpigia simu hapokei ...na mpaka leo hajawahi lipa hata sent....na mimi na taabika kulipa deni...daaaaah sikuamin na undugu wenyewe nikatupilia ndani...(ila nilipata tetesi alitumia kiasi cha pesa kumuhonga daktari afanye Abortion...)

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana
 
Back
Top Bottom