Wangapi hatujawahi kuchepuka katika mahusiano yetu?

Ulitakaje kwa mfano.
 
Labda yeye ni mungu. Ukute hapo alipo yeye Hata wa kusingiziwa Hana. Na Kama kasingiziwa basi ni wa mwanaume mwenzie yeye analea tu
Mbona una maneno ya hovyo hivyo? Wewe umeshaleta tangazo na wajumbe wameshaelewa. Subiri application.
 
watu wanao anzishaga mada kama hizi ndio sio tu wachepukaji bali wanawekea lami michepuko yao,mabingwa wa kupiga nje na kuleta ukimwi kwenye ndoa.

eti mi sichepukagi...wewe Mungu anakuona
 
Ulitakaje kwa mfano.
sema una miaka mingapi (umri wako wa sasa)
ulikuwa na mahusiano kwa muda gani?

muda ktk mahusiano ni factor ya msingi ktk kuchepuka!
kujua /uzoefu ktk game nayo ni factor maana ukipewa game sub-standard unajua unacho-kimiss!
lkn ukiwa first timer unadhani hicho upatacho ndio kipimio kwa wote, so kwanini uchepuke, lkn siku ukila hogo, then ukaenda kwa kibamia, halafu ukija wastani then utasema kama una uvumilivu au la!
 
Tangazo lako limeshaonekana kwamba
1.UPO SINGLE
2.HAUCHEPUKI
3.UNAHAMU YA KUINGIA TENA KWENYE MAHUSIANO ILA HAUJAPATA MPENZI
4.HAUJATUMIKA SANA COZ ULIKUWA NA MPENZI MMOJA TU.
Haya sasa, mabazazi wa JF kazi kwenu
[emoji23][emoji23]
 
Miaka ya nini
 
Ila kuingia kila kituo cha mafuta unachokutana nacho hapo mbele kunapoteza malengo sana
hilo kama utakua unajaza mafuta ya elfu kumi dawa ni unatafuta kituo kimoja matata sana unajaza full tank ukitoka hapo unaenda km 500 hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…