Wangapi hatujawahi kuchepuka katika mahusiano yetu?

Wangapi hatujawahi kuchepuka katika mahusiano yetu?

Super women 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2016
Posts
5,164
Reaction score
6,549
Msema ukweli mpenzi wa MUNGU. Nilishawahi kuwa kwenye mahisiano na mwanaume mmoja na ndo aliekuwa mwanaume wangu wa kwanza na baadae niliachana nae. Sijawahi kuchepuka, baada ya yeye kuwa na tabia za kuchepuka nikaachana nae na sitakuwa mchepukaji hata nikiingia tena kwenye mapenzi katu kuchepuka ni kipaji.

Je, wewe unaweza kuwa na mwanaume/mwanamke mmoja bila kuchepuka?

Kumbuka unaposema uongo. MUNGU anakuona!
 
Msema ukweli mpenzi wa MUNGU. Nilishawahi kuwa kwenye mahisiano na mwanaume mmoja na ndo alie kuwa mwanaume wangu wa Kwanza na baadae niliachana nae.
Sijawahi kuchepuka,baada ya yeye kuwa na tabia za kuchepuka nikaachana nae...na sitakuwa mchepukaji hata nikiingia tena kwenye mapenzi katu.. Kuchepuka ni kipaji.. Je wewe unaweza kuwa na mwanaume/mwanamke mmoja bila kuchepuka... ???

Kumbuka unaposema uongo.MUNGU anakuona

How old are you?
 
Nilichepukaga enzi za u-boyfriend na u-girlfriend.

Lakini toka nimeingia kwenye ndoa,ni muongo mmoja sasa,sijachepuka na wala sina mawazo hayo. Namuomba Mungu aninusuru na mawazo hayo ya kishetani. Na aliyenioa si katika hao maboyfriend.
 
kwahyo umeona umuhimu wa kuchepuka sasa turud kutokana na sababu hzo utakuja kuchepuka si et
Ndo maana nikakwambia Inategemea. Kama ni gari litachepuka. Kwani Mimi sio gari na sihitaji kuongezewa mafuta. Mimi ni ninadamu kwa hiyo sioni umuhimu wa kichepuka.. Kungekuwa ya kwamba usipochepuka utakufa. Hapo sawa ingekuwa na umuhimu
 
Ndo maana nikakwambia Inategemea. Kama ni gari litachepuka. Kwani Mimi sio gari na sihitaji kuongezewa mafuta. Mimi ni ninadamu kwa hiyo sioni umuhimu wa kichepuka.. Kungekuwa ya kwamba usipochepuka utakufa. Hapo sawa ingekuwa na umuhimu
sawa time will tell
 
Back
Top Bottom