Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
there you are!!Hizo haki za binadamu zinazosema yote hayo ziko wapi? Maana asije akawa alikuwa anakuambia makubaliano yake na mumewe na kujifanya kana kwamba makubaliano yao ndio haki za binadamu.