Hainaga ushemeji
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 451
- 777
Maneno matakatifu yanasema;
'1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
Kwa ile lugha iliyokuja na Meli
In that day seven women will take hold of one man and say, "We will eat our own food and provide our own clothes; only let us be called by your name. Take away our disgrace.
Wakuu hayo sio maneno yangu bali ya Biblia takatifu ambayo nimeyaona nikiwa naipitia kabla sijalala. Utabiri wa Biblia haujawahi kumuacha mtu salama.
So, wale wanaojidai sijui nataka mume ana masters, mweupe, mweusi, tajiri blah blah wajiandae 'kupambana na hali yao'
NB: Usilete udini kwenye hii thread tafadhali.
'1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
Kwa ile lugha iliyokuja na Meli
In that day seven women will take hold of one man and say, "We will eat our own food and provide our own clothes; only let us be called by your name. Take away our disgrace.
Wakuu hayo sio maneno yangu bali ya Biblia takatifu ambayo nimeyaona nikiwa naipitia kabla sijalala. Utabiri wa Biblia haujawahi kumuacha mtu salama.
So, wale wanaojidai sijui nataka mume ana masters, mweupe, mweusi, tajiri blah blah wajiandae 'kupambana na hali yao'
NB: Usilete udini kwenye hii thread tafadhali.