bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,444
Wanajamvi naomba nitoe duku duku langu leo kuhusu kina dada ktk suala la simu!!! kila dada ninayetaka kuanza nae mahusiano anamajibu yafuatayo kuhusu simu yake-
1. simu yangu mbovu iko kwa fundi hata kama cku za mwanzo ulikua unamuona na simu.
2. simu hii ninayotumia ni ya mdogo wangu yangu ni mbovu ni kimeo kweli kweli iko kwa fundi ukimwambia nipe nikupekee kwa fundi atakwambai nimehangaika mafundi wameishindwa natafuta nyingine tu ili nimrudishie mdogo wangu hii simu yake!!!
3. Naomba ninunulie smart phone maana natumia kitochi ( hata kama alikua ana simu nzuri uliyokua ukimuona nayo kila cku unaanza kumuona na kitochi ).
4. simu yangu haina watsup ningepata simu nzuri ningekua napiga nakutumia picha kwa watsup ( kana kwamba nili mwambia nataka kutumiwa picha na watsup).
6. hiki kisimu hakikai na chaji kabisa napata tabu sana!!!
na ukiongeza jitihada za kupuuza anaongeza vituko mara mda mwingi anakua hapatikani ikitokea ukimpata atajibu kwa ukali kidogo si nimekwambia simu yangu mbovu!!!
Ni kweli kwamba hakuna mdada mwenye simu nzima???? Please kama kuna dada mwenye simu nzima ni PM nikutoe hata out daaaa!!!!
1. simu yangu mbovu iko kwa fundi hata kama cku za mwanzo ulikua unamuona na simu.
2. simu hii ninayotumia ni ya mdogo wangu yangu ni mbovu ni kimeo kweli kweli iko kwa fundi ukimwambia nipe nikupekee kwa fundi atakwambai nimehangaika mafundi wameishindwa natafuta nyingine tu ili nimrudishie mdogo wangu hii simu yake!!!
3. Naomba ninunulie smart phone maana natumia kitochi ( hata kama alikua ana simu nzuri uliyokua ukimuona nayo kila cku unaanza kumuona na kitochi ).
4. simu yangu haina watsup ningepata simu nzuri ningekua napiga nakutumia picha kwa watsup ( kana kwamba nili mwambia nataka kutumiwa picha na watsup).
6. hiki kisimu hakikai na chaji kabisa napata tabu sana!!!
na ukiongeza jitihada za kupuuza anaongeza vituko mara mda mwingi anakua hapatikani ikitokea ukimpata atajibu kwa ukali kidogo si nimekwambia simu yangu mbovu!!!
Ni kweli kwamba hakuna mdada mwenye simu nzima???? Please kama kuna dada mwenye simu nzima ni PM nikutoe hata out daaaa!!!!