Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,052
Mkuu wanawake weus wanaheshima Sana hawana kibur majivuno ndiyo maana ndoa zao hazivunjiki
Ndiyo ilivyo, akiangukia pua utasikia ukioa mwanamke mzuri kubali kuibiwa au nisawa naWanaume hawaridhiki ,kuna wanaume humpenda mwanamke alivyo tu awe mweupe au mweusi haijalishi,hawa wengine walipigwa vibuti wamenuna
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tulia na Balotel hapoKama hujawahi kuwa mzinzi huwezi kujua tofauti ya wanawake weupe na weusi,wanawake weupe wana ujinga wa asili kulinganisha na weusi ambao wengi wao wana akili tulivu sana ktk kufanya maamuzi.
Wanawake weupe wengi wao ni malimbukeni sana,ile hali ya kuwa weupe huwadumaza sana na kujiona kuwa wao ni bora kuliko wanawake wote.
Ukichunguza kwa makini hata ndoa nyingi zinazovunjika ni za wanawake weupe,kundi hili ni hatari kuoa,ni bora ukaoa mwanamke mwenyewe rangi ya maji ya kunde kuliko mweupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahhahahaha,Ndiyo ilivyo, akiangukia pua utasikia ukioa mwanamke mzuri kubali kuibiwa au nisawa na
kulima miwa karibu na shule ya primary![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wapo wenye ndoa zao safi hazina longolongo sema hujabahatika tu ukampata siku hiziHapana weupe wana ringa, kibur kingi wanajiona ndiyo maana tunawatumia tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Serious kabsaaa Hata washikaj wanasema hivo hivo
Ukipita mwenge kule kwenye vipodozi carrorite hizo na kule karikoo balaa
uso mweupe kuanzia shingoni duu ni balaaMhhhh,,,,,,,!!!???Ukipita mwenge kule kwenye vipodozi carrorite hizo na kule karikoo balaa![]()
![]()
uso mweupe kuanzia shingoni duu ni balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio rahis kwa sababu jamaa atamtimuaMbona wapo wenye ndoa zao safi hazina longolongo sema hujabahatika tu ukampata siku hizi
watu wanaolewa hao hao black wakifika kwenye ndoa wanaanza kujichubua
Sent using Jamii Forums mobile app
African beauty
Hawatimuliwi wapo tu na ma carrorite yao tunawaonaSio rahis kwa sababu jamaa atamtimua
Alikupenda kwa weus wako bas
Ila Achen dharau kibur kujiona Mbona tutawaita wife material tuu nakuwaoa
Sent using Jamii Forums mobile app
RacistHata orijino ni wajinga, ovyo wanajiona kibur king yaan mpo Kama wachawi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok sawa ila mwanamke mweus ni mtam Sana anajotooo hatar tofaut na mweupe
Hapana bossRacist![]()
![]()
![]()
☆Let us sacrifice our today so that our children can have a better tomorrow☆