Wanawake weupe vs Wanawake weusi

Yapite kirahisi kwa kuwa mlemavu huko down town mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
hamna kipenzi, inarudia hali yake kabsaa, sasa ukiogopa nasi twataka mababy itakuwaje sasa?
nakuhakikishia haya hayatakupata, ntahakikisha natimiza majukumu yangu vyema, hadi unaenda leba utaingia moyo ukiwa mweupe no complikesheni zitakazotokea, kitu kitateleza chwiiiip


Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole kwa kuhadaika na rangi. Ila hongera kwa kujifunza kutokana na makosa
 
Nmeona rangi zote nzuri lakini Mwisho wa siku me Black woman sjui hata kwanini naona wanafaa zaidi!!!
 
Nasinipate kabisa maana si kazi rahisi aisee yataka moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hyo ww utaopt CS au lakin ukumbuke na Cs nayo inakuacha na ulemavu city centre

au bora ulemavu wa city centre kuliko downtown
Mkuu siwezi opt operation maana ile inauma rest of ur life aisee, bora kawaida unapona waendelea kudunda tu. Ulemavu yote ni hatari mkuu bora wa chini operation INA kufanya mgonjwa na nguvu zinapungua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…