shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,373
mwanaume kutokuwa na 6 packs kawaida!..sasa mwanamke kuwa na kitambi ulionaga wapi? Mbona zamani wanawake walikuwa hawana mitambi!...urohooo huo!
Zamani ni lini na ulikuwepo.?
mwanaume kutokuwa na 6 packs kawaida!..sasa mwanamke kuwa na kitambi ulionaga wapi? Mbona zamani wanawake walikuwa hawana mitambi!...urohooo huo!
kuanzia maza mpaka sisteri zangu wote hawana hiyo mitambi!...ni ma supa viwangozz u know!!...hakuna Le vitambiz u knw!
Yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje,wanakeraaaa.
Unakuta dada mzuri ajabu,shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh,kuja mbele sasa,chevuuuu,tumbo hilo!,uzuri wote chalii!
Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho,mnakula sana kuliko hata midume,machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!
Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani,kwani mki maintain shape kuna ubaya gani,
We huoni watoto kama Jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha,sio kama Shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo,au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!
dr.holygrail
huyu jamaa ana kashifa mweh!
@QUOTE MASTER kumbe ndie holygrail.. what a ffffffine day!
huyu jamaa ana kashifa mweh!
Kama huyu nikishindwa kumfumua vizuri basi ni halali yake kusema wanaume ni wabinafsi na hatumridhishi!
@QUOTE MASTER kumbe ndie holygrail.. what a ffffffine day!
Sijaelewa,umejuaje mbona na yeye alikua anammaind sana mbebez.
Huyu mbebez nilitegemea akitoka huko kuzimu atakuwa amejirekebisha lakini imekuwa ni kinyume kabisa.
Ujue humu jf hakuna sehemu tamu ya kumrudisha mtu kuzimu kama kule 'siasani' bana. Jamaa kaenda kuchafua hewa kwa yericko nyerere nikamchoma hapo hapo!!...
Tokea aliporudi toka kuzimu nilipata pm nyingi sana kutoka kwa wakongwe wa MMU kwa sababu mimi ndo mnadhimu mkuu wa MMU. Nimejaribu kumchoma MMU lakini akawa mjanja kidogo. Si nikamkuta kule kwa wazee wa katiba anatamba eti anawaita wazee wa katiba ma 'mbebez'. Nikamchomea pale pale...kwani ilichukua hata sekunde!!
Dogo 'pery' tokea karudi naona kidogo amekua. Na mpigamsuli anajiita advocate J siku hizi.
Kama kuna kambale yoyote anachafua hewa ni pm fasta ili nimrudi kama mnadhimu mkuu wa MMU.
Hahahhahahaaa aisee! Is it?
Huyu mbebez nilitegemea akitoka huko kuzimu atakuwa amejirekebisha lakini imekuwa ni kinyume kabisa.
Ujue humu jf hakuna sehemu tamu ya kumrudisha mtu kuzimu kama kule 'siasani' bana. Jamaa kaenda kuchafua hewa kwa yericko nyerere nikamchoma hapo hapo!!...
Tokea aliporudi toka kuzimu nilipata pm nyingi sana kutoka kwa wakongwe wa MMU kwa sababu mimi ndo mnadhimu mkuu wa MMU. Nimejaribu kumchoma MMU lakini akawa mjanja kidogo. Si nikamkuta kule kwa wazee wa katiba anatamba eti anawaita wazee wa katiba ma 'mbebez'. Nikamchomea pale pale...kwani ilichukua hata sekunde!!
Dogo 'pery' tokea karudi naona kidogo amekua. Na mpigamsuli anajiita advocate J siku hizi.
Kama kuna kambale yoyote anachafua hewa ni pm fasta ili nimrudi kama mnadhimu mkuu wa MMU.
Kila ndege hutua mti aupendao wenazako wanapenda unachokichukia pole.Yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje,wanakeraaaa.
Unakuta dada mzuri ajabu,shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh,kuja mbele sasa,chevuuuu,tumbo hilo!,uzuri wote chalii!
Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho,mnakula sana kuliko hata midume,machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!
Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani,kwani mki maintain shape kuna ubaya gani,
We huoni watoto kama Jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha,sio kama Shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo,au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!
dr.holygrail