neliswa subra
Member
- Sep 3, 2012
- 62
- 16
Na wale wanaume wenye vitambi nao jee hawakukeri
Kuna wadada ambao wanakuwa na matumbo makubwa baada ya kujifungua
Kuna wadada ambao wanakuwa na matumbo makubwa baada ya kujifungua
hapa ni oparesheni tokomeza vitambi!
no Le vitambizz u knw!..ni majangaz u knw!
Mi mwenyewe tumbo langu kubwa kama .dingi mjamzito
Am so hot aint i?au wanaume mnasemaje!
Mume wangu anakilaliaje kitambi changu!!!! i love you bebi
Zamani kuwepo wewe??mwanaume kutokuwa na 6 packs kawaida!..sasa mwanamke kuwa na kitambi ulionaga wapi? Mbona zamani wanawake walikuwa hawana mitambi!...urohooo huo!