Wanawake wenye ulafi wa ofa

Wanawake wenye ulafi wa ofa

Ubahili ni hatari kwa mjini hapa unaweza kosa demu kabisa
 
Nadhani inategemea na mwanamke unae chukua,wanawake wengi wanaojitambua hawapendi offer,na hata ukiwapa anaweza mkala na yeye akalipa,lakini kwa wanaume wenye IQ ndogo watachukulia mdada anajishaua...
 
Una bahati mbaya kwa kuwa unakutana na wa hivyo,
Ila siyo wanawake wote wana tabia kama hizo.
Hahaahar, yaweza ww pekee ndio hupendi ofa za bure ila waliokubaki wanahitaji watumbuliwe majipu ya kupenda vya bure
 
Back
Top Bottom