Wanawake wenye sura hii hawajali na wanajua kupenda…!

Aaaah rukia wangu weeeeeee....safari sio kifoooo utarudi tu
 
da.. kama wapo wenye tabia na sura hizo, tuwaombe wawe concelors to their fellow ndoa zitadum zinatesa watu kwel............ plzzzzzzzz.
 
Mtambuzi tuheshimiane mkuu, kutoana kwenye kadamnasi kama hivi kunani?....lol!
 
Kuna mmoja ana SURA KAMA HII.... yaani huyo KUNGURU ANA AFADHALI...!!!
 
Mtambuzi next time naomba utuwekee sura ambayo ni vise versa na haya ulosema leo ili tujijue tuko wapi lol!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…