katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
Dear Mama wa kambo,
Tokea uje kwetu maisha yetu yamekuwa mabaya kwa maana umekuwa unatunyanyasa unatufanyia visa juzi mdogo wangu umempiga na ufagio mpaka akazimia alipozinduka kwa juhudi zetu. Ulimnyima chakula ukamwamrisha asilale kitandani alale chini ya sakafu tena bila huruma .
Tunaumri wa kupendwa sio wakupigwa na kunyanyaswa. Umekuwa ukitupiga kutuchoma na moto kupitia vitu vikali ,umekuwa unatulaliza njaa ,umekuwa unatutumikisha tena kazi nyingi unatupa ambazo hatuwezi sisi kuzifanya.
Tunapika, tunafua, tunadeki,tunaosha vyombo watoto wako uliokuja nao wanaumri wa mkubwa kushinda sisi.
Maisha yetu hatuna muda nayo tokea tuje niwewe tu ndio unatutesa tu.
Mama wakamboo tumekufanyia nini hadi ututesee hivi?Shuleni hatuendi wala nini kazi zimekuwa ni hizo tu kwanini lakini? Halafu wako wanaenda shule wanaishi kwa amani .
MAMA TUMEKUFANYIA NINI.
😪😭😭😭😭 HUU UJUMBE NIMEKUTA KWA MTU FULANI JE HUYU MAMA ANAFANYA SAWA?
Tokea uje kwetu maisha yetu yamekuwa mabaya kwa maana umekuwa unatunyanyasa unatufanyia visa juzi mdogo wangu umempiga na ufagio mpaka akazimia alipozinduka kwa juhudi zetu. Ulimnyima chakula ukamwamrisha asilale kitandani alale chini ya sakafu tena bila huruma .
Tunaumri wa kupendwa sio wakupigwa na kunyanyaswa. Umekuwa ukitupiga kutuchoma na moto kupitia vitu vikali ,umekuwa unatulaliza njaa ,umekuwa unatutumikisha tena kazi nyingi unatupa ambazo hatuwezi sisi kuzifanya.
Tunapika, tunafua, tunadeki,tunaosha vyombo watoto wako uliokuja nao wanaumri wa mkubwa kushinda sisi.
Maisha yetu hatuna muda nayo tokea tuje niwewe tu ndio unatutesa tu.
Mama wakamboo tumekufanyia nini hadi ututesee hivi?Shuleni hatuendi wala nini kazi zimekuwa ni hizo tu kwanini lakini? Halafu wako wanaenda shule wanaishi kwa amani .
MAMA TUMEKUFANYIA NINI.
😪😭😭😭😭 HUU UJUMBE NIMEKUTA KWA MTU FULANI JE HUYU MAMA ANAFANYA SAWA?