Halafu kuna mademu wengine ukiwagonga tu wanatafuta namba ya mkeo hadi aipate. Akiipata atahakikisha anakunyoa magugumaji kisha anampigia mkeo na kumwambia..... kinyago wako huyo anakuja na kipara ngoto chake.... nimesha mfyeka msitu wake.... mwanamke wa hovyo wewe.... nimekutana na mijoka ya hatari Kwenye msitu wa mumeo
sio WANAWAKE TU hadi wanaume kuna wenye nyota mbaya au mnuksi kuna boy nilikuwa naye miez mwil tu ila nilikoma niliona joto la jiwe...... yan hata kushika mia hakuna jaman nikamtema mbona mambo yakaenda fresh,,,,,,,,
Ni kweli kuna wanawake wana gundu...ukiwaoa tu mambo hayanyooki kimaisha.
Ila pia kuna wale wengine ukiwaoa tu hata kama ulikuwa chapombe na mtumia hela hovyovovyo anakuweka kwenye mstari wa maendeleo. Nina ushahidi katika hili.
Duh! na kuna wengine ukiwanjunja tu hata kama ulikuwa huna mia mfukoni ukitoka tu nje ya nyumba unaokota jero! ghafla na simu za madili kibaaoooo unaanza kupigiwa! ila sasa walivyo wakorofi!