ngoma ya ukae
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 611
- 617
Wengi wao wamevunja ndoa zao. ..ingawa kiheshima hiyo nayo ni kazi km kazi nyingine lakini wengi wao wanakuwa wapo mtegoni kuwanasa walevi wa pombe na wanawake ...yaani marupurupu ni mengi kulikoni mshahara.