LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,312
- 6,638
mkuu hii ilikuwa kinyerezi kama sikosei,kulikuwa kuna promoshe ya bia yetu pendwa ya TUSKERMkuu,samahan yupo bar gani?,mdau nipo
mkuu hii ilikuwa kinyerezi kama sikosei,kulikuwa kuna promoshe ya bia yetu pendwa ya TUSKERMkuu,samahan yupo bar gani?,mdau nipo
Tatizo wengi wao walikuwa vilaza shuleni. Wakategemea sehemu zao za siri zitawatoa kimaisha + uzuri wa sura zao.
Amanikullaya kula tano!!!!!!mbali na sababu nyingi,lkn Ukweli kuoa mwanamke mwenye mazuri mengi ya kutamanisha macho,NI STRESS TUPU!maana hata kama hana tabia za kuchepuka,atachepuliwa tu!Watu wanaogopa kumiliki shamba la miwa alafu azungukwe na shule.pia uzuri w mwanake sio .....ni tabia. Jiulize Kwanii wapo huko?
Ngoja nisindikize post
mkuu hapo sio uhuru park?
yaan kama huyo alotugeuzia mgongo unamla tig.o viziru sana mAana anahamasisha balaaNgoja nisindikize post kwa picha
Mkuu umejuaje kama hawana waume?umesema baa za high class Ina maana wateja nao ni high class,sasa wanashikaje kalio la muhudumu,au mafaili yamachanganyika!Salaam wakuu
Mada tajwa yahusika
Tangu Jana nipo Bar nimezunguka Bar nyingi Sana hapa mjini Mwanza yani nahama bar hii naingia hii hasa zile High class kama Villa,DV8, Gold crest,na nyingine nyingi
Sasa nlichokigundua Bar nyingi hapa nlipo na Tanzania mzima zina wanawake wazuri wanaotoa huduma Kwa wateja but najiuliza Kwa uzuri wao Kwa nini wasiolewe wakawekwa ndani badala yake wanaishia kwenye maisha ya kuchezewa makalio,kutukanwa na kudharauliwa?
Cha ajabu wale wanawake tunaowaona wabaya ndo tunawaoa na kuwaweka ndani na kufanya nao maisha
Ukiangalia matajiri wengi,wanasiasa ,wasomi,Wafanyabiashara wakubwa wameoa wanawake ambao kimtazamo ni wa kawaida Sana
Je hawa wanawake wa bar ambao wanasifa zote nzuri za kimaumbile ambazo wanaume tunazitaka Kwa nini hawaolewi??
yaan kama huyo alotugeuzia mgongo unamla tig.o viziru sana mAana anahamasisha balaa
We jamaa unabishana na radio?Hakuna wanawake wanouza bar Bali wanawake wanowahudumia wateja vinywaji... Wakiuza bar nahisi ndio mwisho wa kazi
Unataka uoe ili utumie peke yako?
Una roho mbaya wewe.
Mkuu hawa wafanyakazi! wa hii sekta si ndio ugonjwa wako?Ngoja nisindikize post kwa picha