St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,639
- 4,527
Hivi kwanini wanawake wengi hasa wa kitanzania waliosoma ni wasumbufu katika ndoa. Wakisha olewa nao wanakuwa kama wanaume!!! Tabutupu hii!!!!
Hii ni tabia ya mtu hata kama asome, asisome kama aliumbwa na Kiburi atakua nacho tu.....
Heshima kwenu wakuu,kwangu mimi sioni kama tatizo liko kwa wanawake,maana tukumbuke kuwa dunia inabadilika na wanaume (baadhi)hawakubali kwenda na mabadiliko ya dunia.Zamani ilikuwa shughuli zote za ndani ni kazi ya mwanamke na mwanaume yeye anakuwa mtafutaji,lakini leo hii sote tunashirikiana katika utafutaji bila kujali kama ni msomi au la.Hivyo basi linapokuja suala la majukumu ya ndani si vibaya tukasaidiana maana nashindwa kuelewa inakuwaje mwanaume unarudi umechoka na mwanamke anarudi amechoka lakini mkifika nyumbani mwanamke ndio aanze kuingia jikoni sijui wapi wakati mwanaume kanyoosha miguu na gazeti mezani,mbona ulivyokuwa bachelor ulifanya yote?Kwangu mimi mke nitakayemuoa sitamchukua ili sijui anipikie,anifulie,anisafishie nyumba na mengineyo mengi kwa kuwa nayaweza yote hayo.Nitaoa ili mke wangu anisaidie kazi moja tu ambayo mimi siiwezi na wote mnaijua ni kazi gani, hayo mengine tutashirikiana.
Nakubaliana na wewe, nafahamu wanawake wasomi wengi tu na wengine wana vyeo vikubwa, lakini wanafahamu sana responsibilities zao as wives. Kikubwa ni kwamba ndoa ni pande mbili, inahitaji uelewa wa pande mbili na kulingana kwa maadili na utamaduni wa pande mbili za ndoa.
kama wewe ni mchaga unaoa mswahili basi ujue wazi kuwa dunia itakuwa chugu kwako. Kama wewe ni mtu wa Ungija unaolewa na Mkurya au mjita, basi ujue kuwa ndoa itakuwa mgogoro.
Kuna wanaume wanaona kuwa mwanamke ni a possesion na sio binadamu, na kuna wanawake wengine wanaona kama mwanaume ni money spitting machine, wengine wanaona easytu ku-rent miili yao na kuwaita wanaume mbuzi (buzi), hii ni utamaduni. Watu kama hawa hata wasome vipi ni tatizo elimu kwao ni wastage of time. Cha muhimu ni kwamba kama wewe ni mstaarabu na unaheshimu utu wako na wa mtu mwingine ni kuepuka watu kama hawa, jaribu kuangalia mnayendana.
So i would say that it is not entirely true that educated women are problematic and can not make good wives. Those women who are hard headed like mules, are born that way, and they will behave the same way regardless of whether they are educated or not
we ndo mbovu! Si uende kijijini kwenu sitimbi ukaoe ambaye hajahudhulia hata darasa moja? Kwani hulilazimishwa kumwoa. Tuondolee ukuda hapa kama umemchoka nae kakuchoka pia mwache atapata mwingine wa kumpenda. Kila siku mkiamka ni post kuhusu wanawake tuu! Fikiria kujenga taifa si upupu usio na maana
Huu ni ukabila tu, ukaburu mtupu hakuna jingine! Kwa mawazo yako mkurya au mjita na hao wengine uliotaja hawawezi kuwa kwenye ndoa na watu wa kabila tofauti, umechemsha bro, uongo mtupu huu na tena ni uzandiki uliojaa ubaguzi wa kikabila. Una maana kila mtu akaoe kabila yao tu ndio atapata ndoa nzuri? Watu kama nyie ndio hamtakiwi katika nchi hii, kutwa kuwaza ukabila tuuuu, yaani this is so primitive!
Kama hayo yote yametoka moyoni basi Babu DC anakutabilia kuwa utakuwa mume mwema. Kwa wale wanaotafuta..you are true husband material!
Wengine hayo yote tunayafanya practically na ndio maana tunawashangaa baadhi ya wanaume wanaofikiria kama vile ni mwaka 1960 wakati tunaelekea mwaka 2011!
Mungu atakuwa na nawe na familia yako itakuwa na baraka tele...!!!!!
Nashukuru babu kwa utabiri mwema na ninakuhakikishia tena babu kuwa hayo yote uliyoyasoma ndio ukweli wa moyo wangu.
Heshima kwenu wakuu,kwangu mimi sioni kama tatizo liko kwa wanawake,maana tukumbuke kuwa dunia inabadilika na wanaume (baadhi)hawakubali kwenda na mabadiliko ya dunia.Zamani ilikuwa shughuli zote za ndani ni kazi ya mwanamke na mwanaume yeye anakuwa mtafutaji,lakini leo hii sote tunashirikiana katika utafutaji bila kujali kama ni msomi au la.Hivyo basi linapokuja suala la majukumu ya ndani si vibaya tukasaidiana maana nashindwa kuelewa inakuwaje mwanaume unarudi umechoka na mwanamke anarudi amechoka lakini mkifika nyumbani mwanamke ndio aanze kuingia jikoni sijui wapi wakati mwanaume kanyoosha miguu na gazeti mezani,mbona ulivyokuwa bachelor ulifanya yote?Kwangu mimi mke nitakayemuoa sitamchukua ili sijui anipikie,anifulie,anisafishie nyumba na mengineyo mengi kwa kuwa nayaweza yote hayo.Nitaoa ili mke wangu anisaidie kazi moja tu ambayo mimi siiwezi na wote mnaijua ni kazi gani, hayo mengine tutashirikiana.
Women have been empowered these days. Our men ego should shift otherwise we would think the women we have are no wives material. The problem could not be women... the problem might be how men think about women. Just note that gone are days when women were just for cooking and raising kids.
Now days they can as well finance our household budgets.
Your very wrong and idiot. Do you think ur married to fince the family? It seem u do no the meaning of marriage
Your very wrong and idiot. Do you think ur married to fince the family? It seem u do no the meaning of marriage
C'mon guys....kwanini hatupendi kutumia lugha yetu ya taifa ili tuelewane?
Huwa ni inferiority complex kama mzee hujapiga kitabu!! Kama na wewe umepiga kitabu, una kazi nzuri hakuwezi kuwa na shida.
Problem ni pale mama atakapo anza kulipa fadhila ya kupewa uwaziri, ukurugenzi kwa kutoa uroda kwa waheshimiwa, hapo shida ita anza. Na kama ukifanya utafiti wako utagundua wengi wenye kiburi huko nyumbani ujue wazee wamesha anza kumega.
C'mon guys....kwanini hatupendi kutumia lugha yetu ya taifa ili tuelewane?
Nilimjibu mtu aliye post kwa lugha ya kigeni, yawezekana hajui kiswahili.
Hakuna usawa kati ya m and f , hata dini zote zinaeleza hivyo. Hii dhambi ya kujifanya tupo sawa inatumaliza. Ndoa hazidumu hata mwaka mmoja. Watoto wengi kwa sasa wanalelewa na single parent. Na ndio maana watoto wengi ni majuha siku hizi.
Lazima kuwe na kiongozi katika familia.
we ndo mbovu! Si uende kijijini kwenu sitimbi ukaoe ambaye hajahudhulia hata darasa moja? Kwani hulilazimishwa kumwoa. Tuondolee ukuda hapa kama umemchoka nae kakuchoka pia mwache atapata mwingine wa kumpenda. Kila siku mkiamka ni post kuhusu wanawake tuu! Fikiria kujenga taifa si upupu usio na maana
Kweli mkuu dini zote zina mambo ambayo mengine kwa mtazamo wetu ni kandamizi kwa wanawake. Hata kama wewe unaona ni sawa, je kipi ni bora kwako..ndoa kuvunjika kila mtu akaishi kwa amani na kuanza upya au kuishi katika utumwa maisha yako yote?