Wanawake wengi mnafeli hapa

Wanawake wengi mnafeli hapa

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,779
Wanawake wa kileo wengi ukimtongoza leo na anakuambia shida hapo hapo. Na wengi hawaolewi kwa visa hivi. Fahamiana na mtu kwanza na mengine yataendelea.

Wengi mnaingia mtegoni kwa ku-expose matatizo yenu mapema.

Povu ruksa.
 
Juzi kuna mmoja ametangaza anatafuta mchumba, nikamwambia mm akaniambia njoo dm, sikuenda, akanitext dm, akaniambia nimtumie picha, nikamtumia, akaniambia kumetokea watu zaidi ya 20 lakini ww ndie nimekupa nafasi ya kwanza coz unanivutia, nilishtuka kwanza, nikajiuliza akilini mwangu huyu anatafuta mchumba ama handsome? Hapohapo ktk akili yngu nikamshusha thamani, akaniambia tena mm sipendi midevu nataka uyakate, nikamwambia ndevu zangu nazipenda kuliko kitu chochote, nikampotezea akaendelea kunitafuta, mwisho nilipomwambia ukweli kama niko nje ya nchi aliandika ukurasa wa masms mpka nikalogoff, yaani hakutaka tena mbwembwe , anasema ivyoivyo ananitaka

Nikablock kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi kuna mmoja ametangaza anatafuta mchumba, nikamwambia mm akaniambia njoo dm, sikuenda, akanitext dm, akaniambia nimtumie picha, nikamtumia, akaniambia kumetokea watu zaidi ya 20 lakini ww ndie nimekupa nafasi ya kwanza coz unanivutia, nilishtuka kwanza, nikajiuliza akilini mwangu huyu anatafuta mchumba ama handsome? Hapohapo ktk akili yngu nikamshusha thamani, akaniambia tena mm sipendi midevu nataka uyakate, nikamwambia ndevu zangu nazipenda kuliko kitu chochote, nikampotezea akaendelea kunitafuta, mwisho nilipomwambia ukweli kama niko nje ya nchi aliandika ukurasa wa masms mpka nikalogoff, yaani hakutaka tena mbwembwe , anasema ivyoivyo ananitaka

Nikablock kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan mtu akihitaji mchumba anakua hana chaguzi yaan yoyote yeye amzoe? Amekwambia umemvutia kosa lake liko wapi?

Lol, mbona 'endsam'

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Juzi kuna mmoja ametangaza anatafuta mchumba, nikamwambia mm akaniambia njoo dm, sikuenda, akanitext dm, akaniambia nimtumie picha, nikamtumia, akaniambia kumetokea watu zaidi ya 20 lakini ww ndie nimekupa nafasi ya kwanza coz unanivutia, nilishtuka kwanza, nikajiuliza akilini mwangu huyu anatafuta mchumba ama handsome? Hapohapo ktk akili yngu nikamshusha thamani, akaniambia tena mm sipendi midevu nataka uyakate, nikamwambia ndevu zangu nazipenda kuliko kitu chochote, nikampotezea akaendelea kunitafuta, mwisho nilipomwambia ukweli kama niko nje ya nchi aliandika ukurasa wa masms mpka nikalogoff, yaani hakutaka tena mbwembwe , anasema ivyoivyo ananitaka

Nikablock kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa basi muhandsome tushakujua
 
Wanataka kuwa na assurance kwamba wanapoingia watapata huduma au la.
Na ukiwa mwepesi kutoa anatangaza kwa shoga zake nimelipata buzi hilo linachunika hatariiii, kiufupi bwege flan hivi limbukeni,

Lol, binaadam sie mwenye kuridhika.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Huwa najiulizaga sana pindi ulipokuwa peke yako hizo shida zako nani alikuwa anakutatulia!!? Sometimes mkae chini mtafakari kwanini saiv upepo umebadilika sio kila siku mnasema wanaume wote ni sawa tu😁😁😁 mbona wazazi wako mpaka leo wanaishi pamoja!!?
 
Back
Top Bottom