Ni kwa kipindi kirefu kidogo baada ya wanawake wenye makalio makubwa kufanya mapinduzi kuanzia miaka ya hivi karibuni baada ya kuwekwa kapuni kwa muda mrefu.
Miaka ya nyuma kidogo wanawake wenye makalio makubwa walikua hawana soko kabisa yani na walikua na huzuni kubwa sana na kukosa confidensi mbele za watu kwa sababu wanawake ambao walikua na soko kipindi hicho ni wembamba walikua wakitamba kwa jina la english figa na walisumbua sana kila kona kila chocho iwe kwenye video za music yaani kwenye burudani kote wao tu.
Ila sijui walizembea wapi wakaja kupitwa na hawa wenye matako na hawa nao wamegoma kuachia kijiti. Yaani wamekaba kila upenyo hadi hawa ma englishi figa wameduaa wanatafuta jinsi ya kurudi kwenye soko tena.
Nao wamekuja na hii njia ya kuvaa taiti nyepesi zinazo chora vitumbua vyao ...aisee hii mbinu naiona inaenda kuwarudisha tena kwenye ramani. Hii mbinu mwanaume rijali yoyote lazima ishike atensheni yake hata kama hupendi. Yaani kwa hapa mmecheza kama pele.
Naamini wanaume walio kutana na huu mtego watakua mashuhuda. Kuweza kutofautisha ukipishana na kimodo alie valia hiyo taiti ilio chora kitumbua na ukipishana na demu mwenye makalio yupi anasisimua zaidi?
Mimi mwenzenu imenikuta yaani ile raman ya kitumbua inanisumbua haitaki kutoka kichwani kabisa. Na kunifanya niwe na nyege muda mwingi.
View attachment 2452326View attachment 2452328